Natamani kupata watoto mapacha

Kuna muda maalum..na inatakiwa ukishamkojolea alale chali kwa muda fulani..anyway ni elimu hii ngoja niishi hapa..
Hamnaga kitu kama hiki afadhali umwambie aende mto mapacha akanywe maji yeye na mkewe.
 
Hizi bangi za wakati wa mvua ni mbaya sana, kijana akiona wingu tu mzakali unainuka anatamani muda wote angekuwa ameloweka kwenye k
 
Jaman wataalam wa mambo hayo (naamna ya kupata mapacha) mana hata mm ninawahitaji sanaaa..........
 
Mapacha sio staili ni uelewa wa mfumo mzima wa uzazi
 
Kwa jinsi ninavyoelewa mapacha ni yai lililorutubishwa linagawanyika katika sehemu mbili au zaidi. Sijui kama kuna uhusiano na staili ya tendo la ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…