Natamani kupenda tena

Siwezi kuiudhi serikali yangu tukufu..
Basi usiogope... weka watu wajione watakaempenda au japo toa ka id cha insta watu wakupigie misere uko. mambo za blind date zinaumiza kisaikolojia..... 😛
 
Basi usiogope... weka watu wajione watakaempenda au japo toa ka id cha insta watu wakupigie misere uko. mambo za blind date zinaumiza kisaikolojia..... 😛
Weee... insta ID yangu sithubutu japo iko private.
 
Ukimpenda mtu huo ufupi, hana hela sijui takataka gani huwezi kuziona. Unaweza muona mwanume wako mzuri kumbe wenzio wanamuona wa ajabu.
Ni kweli yani...upendo hushinda vyote kasoro kukosa hela tu!
 
Mmh kazi ipo kumbe
 
Kama ni kweli since 2015 hauna boy friend bas kuna mawili,either unachagua sana or hauna shape ya kuvutia maana wanaume tunasaka watoto wazuri kila kona ya dslam iweje ww muda wote usipate wakati unaitaji?
 
Hawa wadada wataendelea tu kuachwa kwenye mataa kama wataendelea hii tabia yao ya kubishana na reality. Tunawapa ushauri wa rule of the game eti wao wanasikiliza moyo unataka nini, hahaaaa akyanani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…