Natamani kutafsiri vitabu ila sijui wapi nianzie naomba muongozo tafadhari

Natamani kutafsiri vitabu ila sijui wapi nianzie naomba muongozo tafadhari

chiziwafursa

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2024
Posts
558
Reaction score
827
Baada ya kusoma kitabu cha fikiri utajirike (Think& grow rich) nimetokea kuvutiwa nami kutafsiri vitabu ambapo nia yangu nikuja kutafsiri kitabu kama cha human nature, unlock it by Dan Lok na vingine vingi ila nikaona nisiishie hivi hivi nikaingia Google kutafuta mwanga kidogo lakini nimeishia tu kuvuruga akili.

Ndo nimekuja kwenu wadau mnipatie moja mbili tatu ya kipi nifanye ili nitimize ndoto yangu nafanya kama hooby lakini pesa baadaye.

Natumai nitatimiza ndoto yangu katika Mungu na juhudi

Amen
 
Kutafsiri kitabu chochote lazima uwe na ruhusa ya owner/ publisher, Kuwa makini usije fanya copyright violation watakufunga hawachezi wale, ila kama unaongelea kutafsiri tuu Kwa hobby unaweza kuanza na chatgpt itakurahishia kazi sana
 
Kutafsiri kitabu chochote lazima uwe na ruhusa ya owner/ publisher, Kuwa makini usije fanya copyright violation watakufunga hawachezi wale, ila kama unaongelea kutafsiri tuu Kwa hobby unaweza kuanza na chatgpt itakurahishia kazi sana
Siivyo nataka nitafsiri mimi kama mimi mwenyewe kwa akili yangu
 
Hapa kwenye ruhusa ndo pana nichanganya ,hapa ndo nachanganyikiwa sijui nianze wapi?kupata ruhusa
 
Back
Top Bottom