Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 27
http://www.youtube.com/watch?v=ObVZiy-gJN8&feature=related
I like lady jaydee, because she's pretty and cool too. I like her song, natamani kuwa malaika. Hata mie natamani to be a little girl/angel.
You take it too personal. Kuhusu LJD Kwa ujumla huu wimbo kachemka, badala ya kusonga mbele anarudi nyuma, watoto wamenuna, Video imeboa, mmmmh
Wasiliana na Rostam Azizi baba la mafisadi na kata kadi ya CCM!
natamani kua shetani
Mbona Avatar yako ni katuni ya Kishetani?
TAYARI WEWE NI SHETANI huna haja ya kutamani kuwa tena shetani labda tamani kuwa mkuu wa Mashetani cheo ambacho hutakipata milele.
Rostam Azizi SIO Fisadi, na wala Wana CCM SIO Mafisadi.
Kupinga na kupiga vita Ufisadi ni Sera ya CCM.
CCM Hoyee.
CCM ni Nambari Wani.
Na wewe unaboa, unabisha vilivyo wazi! kama huna cha kuchangia bora ukae kimya tu!
Hi FLasante lady jaydee
mie natamani kuurithi ufalme wa mbiguni bathi
Yaani wewe kama mimi,namapenda sana huyu dada hashwa huo wimbo wake wa Natamani kuwa malaika.http://www.youtube.com/watch?v=ObVZiy-gJN8&feature=related
I like lady jaydee, because she's pretty and cool too. I like her song, natamani kuwa malaika. Hata mie natamani to be a little girl/angel.