Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria

Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria

Unajua kule Nigeria kuna Ma billionea wengi sana , na wengi utajir wao ni haramu, c mnajua wanaigeria , u freemason na mambo ya uchawi Ndo unaongoza, so kuna Ma don wa maana.

Na kwa mastaa inakua rahis Zaidi kuonekana na wadau , pia mastaa wa kule wana elimu wanajielewa, hawalalwi kisa sijui kiki , kule pesa mbele tena sio ya mbuzi , na mastaa wa kike wengi wao ni wasiri mno , hawaropoki kama dada zetu huku

Huddah mwenyewe siku hiz chimbo lake Nigeria , mwez Hauishi hajakanyaga kule, Ila juzi wanaigeria walimchamba et malaya anajiuza🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unajua kule Nigeria kuna Ma billionea wengi sana , na wengi utajir wao ni haramu, c mnajua wanaigeria , u freemason na mambo ya uchawi Ndo unaongoza, so kuna Ma don wa maana.

Na kwa mastaa inakua rahis Zaidi kuonekana na wadau , pia mastaa wa kule wana elimu wanajielewa, hawalalwi kisa sijui kiki , kule pesa mbele tena sio ya mbuzi , na mastaa wa kike wengi wao ni wasiri mno , hawaropoki kama dada zetu huku

Huddah mwenyewe siku hiz chimbo lake Nigeria , mwez Hauishi hajakanyaga kule, Ila juzi wanaigeria walimchamba et malaya anajiuza🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahaha
nimemwona juzi Hudda kafungua youtube channel yake
nikasema huyu dada kachelewa wap!
kiru!
 
Unajua kule Nigeria kuna Ma billionea wengi sana , na wengi utajir wao ni haramu, c mnajua wanaigeria , u freemason na mambo ya uchawi Ndo unaongoza, so kuna Ma don wa maana.

Na kwa mastaa inakua rahis Zaidi kuonekana na wadau , pia mastaa wa kule wana elimu wanajielewa, hawalalwi kisa sijui kiki , kule pesa mbele tena sio ya mbuzi , na mastaa wa kike wengi wao ni wasiri mno , hawaropoki kama dada zetu huku

Huddah mwenyewe siku hiz chimbo lake Nigeria , mwez Hauishi hajakanyaga kule, Ila juzi wanaigeria walimchamba et malaya anajiuza[emoji1787][emoji1787]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Duuuh.....Nigeria wanatoa tu kafara, ili watajirike kama ile ishu ya psquare kumuua mama yao, na D'banj kumuua kichanga chake juzi kati!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawa kama Zombie. Hapo anajiona msichanaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]...ghafla Wema anajiona ana miaka 20[emoji849][emoji849][emoji16][emoji44]kisa kakata utumbo na kanyoa nywele, mmama anapenda utoto yule sijapata kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv ile mimba ya Bilionea MchichaMwi ilikuwa kweli? Maana sijasikia kampa binti yoyote tena Mimba au mpaka Tanganyika sweetness tu inatunga?
 
Hiv ile mimba ya Bilionea MchichaMwi ilikuwa kweli? Maana sijasikia kampa binti yoyote tena Mimba au mpaka Tanganyika sweetness tu inatunga?
Me yule dogo sijawahi kumpendaga
Labda wajibu wengine
 
Uchumu wa naija huwez fananisha na bongoland pia ina population kubwa so ndo knachowabeba na wanasapotiana sana
 
Back
Top Bottom