Hili swali lilikuwa muhimu sana. Kwa nini?
Serikali ingejua kwa kiwango gani wanaume tunajitoa kusitiri wanawake wasioolewa au michepuko kwa kiasi gani,hii huenda ingesababisha mishahara yetu kuongezeka.
Pili ingejua tatizo la single mother ni kubwa kiasi gani hivyo huenda vatican wangeruhusu ndoa za wake wengi
Pia taifa lingejipanga kukabili future ya watoto waliolelewa na mzazi mmoja ambao maadili yao ni mkono wa Mungu tu ndio unaowakuza
Serikali ingejua kwa kiwango gani wanaume tunajitoa kusitiri wanawake wasioolewa au michepuko kwa kiasi gani,hii huenda ingesababisha mishahara yetu kuongezeka.
Pili ingejua tatizo la single mother ni kubwa kiasi gani hivyo huenda vatican wangeruhusu ndoa za wake wengi
Pia taifa lingejipanga kukabili future ya watoto waliolelewa na mzazi mmoja ambao maadili yao ni mkono wa Mungu tu ndio unaowakuza