GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #41
Sawa mtani, ila mnabid na nyie mfe kwa wingi ili na sisi tujenge afya pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah jamaa kajichanganya kwenye anga mbaya amekutana na gazeti la matusi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona ulitegesha bomu lako jamaa kakanyaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Heee. Kumbe mchawi namba moja humu jf ni mpare??
Hapana....kanda ya mbali nanyi...Ndiyo tena awe nae ni ' Mhaya ' vile vile Mkuu.
Dah mtani umetisha, haya njoo na ngombe kwa ajiri ya kuchinja msibani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah jamaa kajichanganya kwenye anga mbaya amekutana na gazeti la matusi.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Namaanisha hakuna vya bure hapa, tutawapa wengine chakula ila mtu akigundulika ni mkurya anakaa na njaa yake.Unaponiambia nije na Ng'ombe wa Kuchinja Msibani wakati unajua fika kuwa Mimi nakuja ' Kushibia ' katika hiyo Misiba yenu ' Wahaya ' unamaanisha nini labda?
Wahaya tafadhalini endeleeni Kufa ili wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) tuje Kula, Kunywa na Kusaza Majumbani mwenu. Na naomba Mungu sana Wahaya wakishamaliza Kufa wote sasa zamu iwe kwa Waha kisha Wanyiramba, Wanyaturu, Warangi na Wakara ili tuweze ' Kushiba ' huko Misibani mwenu.
Jamani bado naendelea kuwapa Pole zangu nyingi sana Watanzania wote, wana Familia wa CMG, wana Tasnia ya Habari nchini, Familia yake nzima Baba na Mama pamoja na wale Wapendwa wake wote ambao wameguswa kwa namna moja au nyingine na Msiba huu mzito wa Ndugu yetu ' Genius ' wa Entertainment, Creative Industry na Media Marehemu Ruge Mutahaba.
Tupo pamoja katika Msiba ( siyo Cyprian ) mzito kabisa na pigo kwa nchini na Sisi Watani zenu wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) tumeumia na kusikitika mno kwani ni kupitia huyu huyu Marehemu Ruge ndiyo aliweza ' Kuwahimiza ' Wahaya wote hasa Wanawake wawe wanapenda na kujipendekeza sana kwa Wanaume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) na kutulazimisha tuwaoe huku wakisema kuwa Wanaume wa Kagera ( Bukoba ) hawajui Kupenda, hawapigi na hawajeruhi pia.
Nawasilisha.
Mkuu watanie uwafariji achana hao wa kizazi cha Doti komuu..Pumbavu ni wana Ukoo wako wote pamoja nawe. Wahaya ni Watani zetu wakubwa mno na hakuna Watu ninaowapenda kama Watani zangu Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu, Wakara na Warangi. Na isitoshe nimeleta hapa huu ' Uzi ' ukiwa ni Jukwaa la Utani. Halafu ni nani aliyekuambia kuwa katika Msiba Watu hawaruhusiwi Kutaniana? Hivi Wewe ' Takataka ' unajua dhana nzima ya ' Utani ' kuwepo katika Jamii ya Watanzania? au unadhani Mimi GENTAMYCINE sijaumia na siumii Kufariki Kwake Ruge Mutahaba?
Nakumbuka miaka ya 90 huko wakati wa Msiba wa Kaka yake Mwalimu Nyerere ( R.I.P ) pale Butiama ( waliokuwepo watanirekebisha ) Watani zetu hawa hawa Wahaya wakati Jeneza liko mbele walikuwa Wahaya fulani wawili wakawa wanalikalia huku wakilifanyia ' dhihaka ' za kila aina na wakisema kuwa Wazanaki na Mwalimu Nyerere tumemtoa ' Kafara ' Marehemu kisha wakasema Marehemu haendi Kuzikwa hadi kupatikane Pesa fulani na nakumbuka Hayati Mwalimu ilibidi pale pale awaite Wazee wa Kimila pamoja na hata Mzee Butiku ili Hela ya Watani ipatikane na wapewe na hilo lilifanyika haraka sana na wakapewa hizo Pesa na kuruhusu Marehemu akazikwe Mwitongo.
Ili uone kuwa Utani una Faida kubwa kuliko uwazavyo Mpumbavu Wewe ile Hela ambayo Watani zetu Wahaya waliiomba Sisi tulidhani labda wanataka tu kwenda ' Kuitumbua ' lakini huwezi amini Watani zetu hawa Wahaya ile Hela pamoja na zao ( walizochangishana ) wao kwa wao walienda Kununua Ng'ombe na Mahitaji mengine ya pale Msibani ndipo Sisi wengine ambao bado tulikuwa wadogo tukaujua umuhimu wa Utani hasa kwa Makabila ya Tanzania zaidi ya 120.
Siku zingine acha kuwa Mpumbavu tafadhali na hawa Watani zangu Wapendwa Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu, Wakara na Warangi nitaendelea ' Kuwatania ' hadi Siku ile na Mimi naingia Kaburini Kulazwa na bado nasisitiza hakuna Watu ninaowapenda na kuwaheshimu kama Watani zangu hao na ndiyo maana hata wakinisema ( wakinichana ) huwa nakuwa mpole kwani ni Wajomba na Shangazi zetu.
Pumbavu.
Genta..... Bwana umenikumbusha mbali kwa utani wako, ila ni vema maana babu yako aihamia huko toka Bukoba miaka mingi iliyopita, wewe ni mjukuu wa Wahaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha hakuna vya bure hapa, tutawapa wengine chakula ila mtu akigundulika ni mkurya anakaa na njaa yake.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti uende kula kwa Muhaya ushibe, kuna kabila hapa Tanzania ambao ni wachoyo wa asili ya chakula zaidiya Wahaya? Muhaya kwake chakula ni Mungu, jamaa ni wachoyo kishenzi. usitegemee kwenda kwa Muhaya akakukaribisha chakula hata siku moja.
Mkuu watanie uwafariji achana hao wa kizazi cha Doti komuu..