Natamani Misiba ya Wahaya iwe mingi kwani inatusaidia sana Kuimarisha Afya zetu kwa Vyakula na Kuoka Bajeti zetu za Kimaisha

Dah hahah!!!

Sawa mkuu yaishe.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Miaka ya 80 mpk 90+, alifariki mkulya mwenye title yake huko maeneo ya Masaki kama sio Mikocheni. Kulikuwa na vyakula vya kutosha na vinywaji (bia za hapo ilala TBL za chupa) kwa wingi.
Mara paap tajiri RUGEMARILA akatia timu pale msibani akaanza kupiga yowe! eti mama yangu weee hapa mahali sio salama, hawa jamaa watauana sasa hivi maana wakilewa wataanza kupigana na kuumizana kwa hizi chupa. Akatoa amri bia zote zilizopo pale zikusanywe na zipakiwe kwenye pickup. Baada ya kumaliza zoezi hilo, ikaingia canter imejaa bia za kopo za Heineken na amstell, watu wakanywa na kusaza.
Huo ndio utani wa wahaya na wakulya.
 
Na ndicho nakifanya Mkuu na huwezi amini naandika hapa lakini nipo katika Huzuni kubwa na Majonzi makubwa. Jembe la Uhakika limeondoka na sijui kama litatokea Jembe jingine kama Marehemu Ruge Mutahaba a.k.a Jasiri Muongoza Njia.
Mungu ni mwema hakika apendi tuwe na uzuni zaidi ya kumuomba na kuzidisha Sala... Atatupatia mwengine INSHALLAH.
 
Haa ha ha ha; kitu kimoja ambacho labda unisaidie we Mkurya, hivi swahiba wa Ruge si Mkurya/Mtani wa marehemu? Itabidi Wahaya wakae vizuri wasije wakadhurumiwa URITHI pale CMG, yule dogo aliyesoma historia ya baba yake sijui mama yake ni kabila gani aise?
 
Una muda wa kuchezea we p.unguani , wosia unamuandikia Nani humu

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Wapare ni wachumi wa kuzaliwa lakini cha ajabu wanaweza practical tu theory inawatupa chini. Wangepasi theory hazina na benk kuu wangekua ni Mgonja, Mshana, Mziray....

Mzee Grey Mgonja alipotua hazina nae akakosea mahesabu.

😎
 
Hapo ndio inadhihilika kuwa tunawaonea wivu (Makabira 5) yanayoleta maana ya Wahaya.

Hawa watu sioni tatizo lao....

Kabira Mwanadamu.
 
Una ' Utani ' nao wa ' Kiasili ' kama Mimi au unawatafuta tu ' Ubaya ' Mkuu? Shauri yako na hapa JamiiForums wapo wengi tu hivyo ' utawakoma ' na anza Kujiandaa ' Kisaikolojia ' kwani najua hawatakuacha hivi hivi.

Eti Mexence natania? Wahaya wana uchoyo wa asili katika chakula, si utani.
 
Wapare ni wachumi wa kuzaliwa lakini cha ajabu wanaweza practical tu theory inawatupa chini. Wangepasi theory hazina na benk kuu wangekua ni Mgonja, Mshana, Mziray....


Yaani Mshana huyu huyu wetu wa JF ni mtaalam wa uchumi kweli au? Eti Mshana Jr wewe ni mwana uchumi au mchawi tu wa njia ya kidigitali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…