Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tobaaaaaaaaa! Mswalie mtume we kijana khaaa!
nimekosea dada?
Ntakufunda huko huko hamna kisichowezekana, ila baada ya mfundo huo ujuzi ni wa kunifanyia mie tu...
nimejifunza sana nimeshindwa nataka wa class d mwenzangu
acha uchoyo na watanzania wenzako wanahitaji huduma hii pia, kizuri kula na rafiki yako.
acha uchoyo na watanzania wenzako wanahitaji huduma hii pia, kizuri kula na rafiki yako.
mbona mapadre wanakunywa na wanatusamehe dhambi?
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members
Mkuu Maria Roza vp alisombwa na mafuriko?
mimi nina upako wewe usipime? Nikisimama tu mapepo yanatimua yotesmile, unafikiri unaweza kumchomoa mtu pepo na pombe zako kichwani? Waweza kumuombea mtu akapona huku unawazi bia? Kumfungua mtu si jambo jepesi, wewe kwa hivi vituko vyako huwezi kabisa binti!
wewe binti haya unayoomba wenzio tunatamani yawe vice verse :A S-frusty2::wink2:
Atakuwa mja mzito sasa hv....
mimi nina upako wewe usipime? Nikisimama tu mapepo yanatimua yote