natamani mume wangu anywe pombe

natamani mume wangu anywe pombe

Wanawake kama wanaitwa JEZEBEL.
Jezebel alikuwa mke wa Ahab,mfalme wa Israel,...
Na jezebel kaongelewa sana katika Ufunuo2:18-19 kuhusiana na kanisa la Thyatira.

Hii flash back ya bible imenitoa uchozi nimemsahau Mungu kwa kipindi kirefu sana
 
u guys don't ever dream of being fair to womens, angalia walivyo na ukurutu mwingi kichwani.... ukikakaa bila kuwa na scandal za ngono mtaani, hajawahi kukukamate ugoni au kasikia unagombaniwa mtaani na machangudoa ataanza wa nini mimi huyu ambaye no body is interested with him????
kwa hii post hapa juu nimeahirisha kutangulia, nisije nikaambiwa nakomaa hadi kwenye chit chat:wink2:

ha ha, tangulia wewe
naogopa nisije pata wa kurudi usiku kwa makusudi lol
 
Smile hii wish yako inafaa kuwa movie idea.
Mungu akishakupatia hiyo sampuli unayotaka usiache kuja kutushuhudia jinsi unavyofaidi ndoa.
 
hata mbuyu ulianza kama mchicha we tamani akiwa chapombe tusikuone humu kutaka ushauri
 
uje nikuombee nimeonyeonyeshwa una pepo la madeni na hofu.ila nakutabiria mwaka huu madeni yako yote yatakwisha
Ha ha haaa! utafikiri kweli. Nikiombewa na wewe ndo ntakuwa mlevi zaidi na shida zitaongezeka!
 
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha

(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members

What a good contradiction of things?
 
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha

(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members

Kuna usemi kwamba "mdomo huwa unaumba".

Natamani hayo uliyoandika hapa yawe hayajatoka kinywani mwako maana yatakapoumbika utamchukia mumeo!!!!!!
 
Smile hii wish yako inafaa kuwa movie idea.
Mungu akishakupatia hiyo sampuli unayotaka usiache kuja kutushuhudia jinsi unavyofaidi ndoa.
Saakumi mwanaume yupo nyumbani si ndo ataanza kuoga na housegirl
 
watu wa kweli uwa hawapendwi... umeongea ukweli wako.. ila hapa naona wanaponda
 
Back
Top Bottom