Natamani na mimi zali la Uli liniangukie

Mkuu huu mkasa hauwezi kuuweka katika matamanio na si jambo la kuombea likukute kwani hata Uli mwenyewe hawakukaa meza moja na watesi wake kunegotiate kichapo-madhila-compansetion...
Ndo maana tunahoji why awe kimya??? Alihongwa ama?
Binadamu hatutabiriki mkuu tupo kama vinyonga japo kunadilika kwa kinyonga kunaonekana. Tofauti ya kubadilia kwa bianadium na kinyonga ni ubadiliko wa binadamu hauonekani. Mioyoo ndio inajuaaa na ndio maana kuna matukio mengi sana yanayoendana kinyume na ubinadamu tunaosema.
 
Shida kuu inakuja pale mamlaka inapoyachukulia matukio mazito kama haya kirahisi rahisi tu bila karipio na initiatives zozote kuzuia yasiendelee...
Bado tuna maumivu ya Kibanda, Mwangosi, mauaji ya kinyama ya vikongwe&albino bila kusahau matukio ya vifo vya kikatili vya hivi karibuni... bado serikali ipo kimya tu na mwisho wa siku raia wanazoea na kuona ya kawaida tu...
 
Ni kweli. Mamlaka zinafanya hvyoo ili ziendelee kuwepo kwenye mamlaka, binadamu hao hao ndio we ye mamlaka hvyo siwezi kushangaa. Ndio maana watu wenye mamlaka huwa wana sura mbili hasa wanasiasa,sio wa kuamini.
 
Hata kuandika kwenyewe matatizo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
heshima yako FF. Kwel elim yang mwendo kas. ILA nampango WA kurud shulen. Nakhakikishia baada ya miaka Saba nitapiga nondo za hatari
 
Yani Mwakingwe na Harizon wangumu kufa sijapata wahi kuona. Dah yani unakomaa kufa kias kile
 
Maisha magumu sana, kijana angalia usije kutamani........
 
Hivi kwa mawazo si mtu unakufa maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…