kama usafi muhimu, nyumba feni itakuepo kufukuzia harufuKwa namna samaki wanavyozaliana chumbani hakukufai tafuta eneo nje kwaajili ya supply ya 02 then unajua harufu inayotolewa na mabaki ya chakula hapo usisahau samaki hujamba pia unaweza tolleret hy hali chumbani?
kama usafi muhimu, nyumba feni itakuepo kufukuzia harufu
Unafanyia hapo ulipo panga.?kuna shughuli zingine nafanya
Bei ya soko ni elfu 10
Tuchukulie umeuza tu kwa bei ya hasara elfu 4, 4
4000x10000= 40,000,000 kwa mwaka
[emoji23][emoji1787][emoji23]
Habari JF,
Leo katika pita pita zangu nimekaa nimewaza nianzishe ufugaji wa samaki ndani ya chumba nilichopanga,
Nikianza na samaki hata kumi naona watatosha,
Hii imekaaje wadau...
seem like joke but niko sawa kabisa. any idea
Dogo nitakurudisha arusha 🤣🤣🤣🤣🤣 bange sio nzurimbonna😂
Vipi kina sehemu ya Sweeming pool (Bwawa) ..tuanzie hapo kwanza...😅😅Habari JF,
Leo katika pita pita zangu nimekaa nimewaza nianzishe ufugaji wa samaki ndani ya chumba nilichopanga,
Nikianza na samaki hata kumi naona watatosha,
Hii imekaaje wadau...
seem like joke but niko sawa kabisa. any idea