Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Motivation speakerBei ya soko ni elfu 10
Tuchukulie umeuza tu kwa bei ya hasara elfu 4, 4
4000x10000= 40,000,000 kwa mwaka
😂🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Motivation speakerBei ya soko ni elfu 10
Tuchukulie umeuza tu kwa bei ya hasara elfu 4, 4
4000x10000= 40,000,000 kwa mwaka
😂🤣😂
Umeshanunua beseni la kufugia,au unachimba kwenye sakafuHabari JF,
Leo katika pita pita zangu nimekaa nimewaza nianzishe ufugaji wa samaki ndani ya chumba nilichopanga,
Nikianza na samaki hata kumi naona watatosha,
Hii imekaaje wadau...
seem like joke but niko sawa kabisa. any idea
Hii hesabu ni mimi sijui hesabu ama, sijaona quantity units ni kilo ngapi ameuza, yani umezidisha pesa kwa pesaBei ya soko ni elfu 10
Tuchukulie umeuza tu kwa bei ya hasara elfu 4, 4
4000x10000= 40,000,000 kwa mwaka
[emoji23][emoji1787][emoji23]
'kama uko siriaz' hivi ni maeneo gani hayoFanyia kazi wazo lako hapa tunakucheka ila kama uko siriaz baadae rudi kutupruvu wrong,ww ndio unaujua ukubwa wa chumba,mzunguko wa hewa n.k.
Wakenya mageto yao yanakuaga multipapas 😂😂😂😂.
Serious we ni comedian 😂😂😂we mzee kwenye net wakati navua na mkono
Hesabu za kwenye Makaratasi raha sana,nenda kwenye uhalisia sasa.Bei ya soko ni elfu 10
Tuchukulie umeuza tu kwa bei ya hasara elfu 4, 4
4000x10000= 40,000,000 kwa mwaka
[emoji23][emoji1787][emoji23]
Lima kabisa iwe greenhouse kachukue Ushauri zaidi Kwa dula wa TikTokHabari JF,
Leo katika pita pita zangu nimekaa nimewaza nianzishe ufugaji wa samaki ndani ya chumba nilichopanga,
Nikianza na samaki hata kumi naona watatosha,
Hii imekaaje wadau...
seem like joke but niko sawa kabisa. any idea