Natamani nikaishi mbali sehemu ambayo sifahamiki na mtu yoyote

Natamani nikaishi mbali sehemu ambayo sifahamiki na mtu yoyote

iamriq_arthur

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2021
Posts
440
Reaction score
1,086
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
 
Njoo
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Pm nikupe Mbinu
 
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Njoo nikuuzie jeneza ...bei chee tu
 
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Jamaa alifika nyumbani kwake anahema kwa mbio akiwa uchi kama alivyozaliwa,
Mkewe: vipi mbona mbio kunani?
Jamaa: majambazi wamenipora pesa na kunivua nguo mkewangu.
Mkewe: majambazi wamekuvua nguo Kisha wakakuvesha Condom!?,
Jamaa: duh,
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
 
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Pole ndugu yangu nazan unapitia changamoto isiyo na mfano mumy. Ni maisha tu yatapita hakuna marefu ysiyo na ncha.

Na mm pia ni mmoja siku nipotee wasijue nilipo kozi nahisi nimepoteza kila kitu muhimu sema ndio siwez sasa
 
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Ooh maybe huku nilipo kisiwani panakufaa
 
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Njoo huku ukanda wa GAZA
 
Kwa hari niliyofikia sasahivi stamani kuzungukwa na mtu yeyote anaenifaham, nataman niende mbali ambapo nitaonekana ni mgeni kwa kila mtu, asinijue mtu yeyote, na huku ntakapotoka wasiwe na habari yangu wala taarifa zangu zozote ni wapi nitakapoenda , yan nipotee tu katika mazingira ya kutatanisha
Ukifika mbali bado utakuja JF au JF nayo utaipptezea?

Nilipata wazo kama hili kuondoka Bongo mazima miaka ya 90, nikahamia mbali na nilikotokea, mpaka leo sina mpango wa kurudi Bongo.
 
Pole sana, hii kitu nilipitia katika maisha yangu
Ila nikafanya tafiti nikaondoka sehem ambayo nilizoeleka na kukulia nikajilipua mbali sana, ila mungu ni mkubwa maisha Alihamdullilah huku naishi kwa amani
Note. Inabidi uwe na roho ngum na uthubutu kama za ki beach boy zile
 
Mmh!pole mkuu Kun wakat tunapita katik vilinge vigumu nakutaman hat mambo flan yatokee ndipo huend tutakuwa saw.lakin kinachokosekan hpo ni kimoja t..MUNGU.mshirikishe Mungu kweny nyakat hzo unazopitia atakufnyia wepesi amini hili nakwambia
 
Back
Top Bottom