Natamani nikaishi mbali sehemu ambayo sifahamiki na mtu yoyote

Natamani nikaishi mbali sehemu ambayo sifahamiki na mtu yoyote

Pole ndugu yangu nazan unapitia changamoto isiyo na mfano mumy. Ni maisha tu yatapita hakuna marefu ysiyo na ncha.

Na mm pia ni mmoja siku nipotee wasijue nilipo kozi nahisi nimepoteza kila kitu muhimu sema ndio siwez sasa
Kifo ndiyo njia pekee japo sikushauri njia hii
 
Ushauri mzuri sana, ( kuhusu pesa yote nliyokua nkitunza ilichukuliwa na mzazi wangu nkidhani kuwa atanirudishia skujua kuwa ndo ilikua mbinu yake ya kunirudisha nyuma kimaendeleo, kazi amenifukuzaw, na pesa yangu amebaki nayo)[emoji119][emoji856][emoji30]
Hivi kumbe kuna wazazi wenye uwezo wa kuibia hadi watoto wao 😳😳 aisee, pole sana Mkuu. Kweli familia ziko tofauti tofauti sana
 
Ndo maana nasema, stamani tena kuishi karibu na ndugu yangu yeyote, niende mbali nikaishi mwenyewe na watu wasionifahamu kabisa [emoji2363]
 
Back
Top Bottom