Ushauri mzuri sana, ( kuhusu pesa yote nliyokua nkitunza ilichukuliwa na mzazi wangu nkidhani kuwa atanirudishia skujua kuwa ndo ilikua mbinu yake ya kunirudisha nyuma kimaendeleo, kazi amenifukuzaw, na pesa yangu amebaki nayo)[emoji119][emoji856][emoji30]