kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Sabaya leo karudi Gerezan cos anakesi nyungine inamkabiri ambayo niya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana, na ndiyo maamuzi ya leo yalitoa angalizo kuwa kama hawana kesi nyingine katika mahakama nyingine basi watakuwa huru.Kwa hyo leo anaenda ogeshwa
Una uhakika?Sabaya leo karudi Gerezan cos anakesi nyungine inamkabiri ambayo niya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana, na ndiyo maamuzi ya leo yalitoa angalizo kuwa kama hawana kesi nyingine katika mahakama nyingine basi watakuwa huru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sabaya ana hela za kurithi.😄Yule mwanamke bana pamoja na kwamba mchumba ake anapita kwenye tanuru la moto, lakini ameamua kusimama upande wa Sabaya.
Kuna haya mashankupe ya mjini sasa,jitu uko nalo kwenye mahusiano, likasikia umetiwa ndani hata kwa kesi ya uzururaji tu,nalo ndio linakukimbia mazima hata kukuletea sabuni magereza halitaki.
Nimependa spirit aliyonayo mchumba wa sabaya kwa kweli.
Ududu mwingi!Tuko busy...Samahani!View attachment 2214658
What an ignorant!Yaani mwanamume mzima unatamani kuolewa na sabaya!
mtu hana credibility wala uaminifu kwa Serikali
hizo hela alizowaibia watu huko Hai akazificha chini ya carpet zitaisha
sijui upendo utakuwepo atapoanza kuchunga ng'ombe
jua huyu hakubaliki tena katika Jamii licha ya cheti chake cha Chuo hataajiriwa
Umeelewa massage ya mwandishi lakini?Yaani mwanamume mzima unatamani kuolewa na sabaya!
mtu hana credibility wala uaminifu kwa Serikali
hizo hela alizowaibia watu huko Hai akazificha chini ya carpet zitaisha
sijui upendo utakuwepo atapoanza kuchunga ng'ombe
jua huyu hakubaliki tena katika Jamii licha ya cheti chake cha Chuo hataajiriwa