Natamani ningekua na mchumba kama wa Sabaya

Natamani ningekua na mchumba kama wa Sabaya

Yule mwanamke bana pamoja na kwamba mchumba ake anapita kwenye tanuru la moto, lakini ameamua kusimama upande wa Sabaya.
Kuna haya mashankupe ya mjini sasa,jitu uko nalo kwenye mahusiano, likasikia umetiwa ndani hata kwa kesi ya uzururaji tu,nalo ndio linakukimbia mazima hata kukuletea sabuni magereza halitaki.
Nimependa spirit aliyonayo mchumba wa sabaya kwa kweli.
Hiyo ni siri ya kambi
 
Yule mwanamke bana pamoja na kwamba mchumba ake anapita kwenye tanuru la moto, lakini ameamua kusimama upande wa Sabaya.

Kuna haya mashankupe ya mjini sasa,jitu uko nalo kwenye mahusiano, likasikia umetiwa ndani hata kwa kesi ya uzururaji tu, nalo ndio linakukimbia mazima hata kukuletea sabuni magereza halitaki.

Nimependa spirit aliyonayo mchumba wa sabaya kwa kweli.


Ukiona vyaelea jua vimeundwa
Na wewe Mtengeneze wako. Uwezo unao
 
Ila kuna wanawake wana moyo jamani,

Yani kumpenda mtu mwenye moyo wa ukatili na kiburi kama si jeuri namna ile kwa mfano mmnh hapana aisee!

Hata kama anafanyia wengine lakini lazima upime uone je siku akikubadilikia itakuwaje?

Je laana itaweza kuja kuathiri vizazi vyenu au la ?

Yataka moyo kwa kweli.!
 
Back
Top Bottom