samahani kama umehisi nakulenga wewe,but niliona niende na thread ulivoipost,najua hilo ni tatizo la watu wengi sana since maisha yamekuwa na changamoto nying sana sasa hivi,nakuelewa sana pengine nami nilipita katika ugumu huo and wat isuggested was how i tackled my problem for tha case so ilikuwa ni katika kujaribu kusaidiana tu,and for the record napenda sana familia yenye watoto wenye amani na furaha kwani wao ndoa wanatufanya tupige mzigo kazini AU SIO?lakini my idea was wewe/au mwngine yoyote awaye yupo mbali kihisia na mke/mume wake so nikajaribu kupendekeza la kufanya,so inawezekana kwa wengine walio kwenye tatizo hilo kwao inaweza ikawa msaada au isiwe msaada pia it depends on how u apply it and kind of a relationship u have with ur partner.sawa mdau?maswali yapi sijayajibu my dear?