Natamani nirudi shule, naombeni ushauri wenu

Natamani nirudi shule, naombeni ushauri wenu

Arash charlz

Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
50
Reaction score
1
Wakuu, mie nimehitimu elimu ya sekondari mwaka 2013 na kupata daraja la nne point 32. Mpaka sasa sielewi nikasomee taaluma gani! Nimeomba ualimu nimekosa, na ndio lililokuwa tegemeo langu kubwa.

Mpaka sasa nipo mtaani na sina mwelekeo wowote wa kusoma hadi natamani nirudie shule form4 resit.

Naomba ushauri wako nisome kozi gani na chuo gani ili nije kupata ajira.

Help me please!
 
Kasome chote usireset utarudia mara kibao na hautapata unachotaka unawajua necta ww so nenda tu kasome cheti vyuo viko vingi sana hapo dar na mikoani kikubwa tuu walezi wako wawe tayari kukusapport kwa hiloo
 
Kasome chote usireset utarudia mara kibao na hautapata unachotaka unawajua necta ww so nenda tu kasome cheti vyuo viko vingi sana hapo dar na mikoani kikubwa tuu walezi wako wawe tayari kukusapport kwa hiloo
asante mkuu,kwa kuniongoza,
 
Naomba kuuliza wakuu,
Hivi kuna nafasi ya kurudia kidato cha tatu (govt schoo)kwa mwanafunzi aliyekwishamaliza kidato cha nne na kupata div IV?
 
Naomba kuuliza wakuu,
Hivi kuna nafasi ya kurudia kidato cha tatu (govt schoo)kwa mwanafunzi aliyekwishamaliza kidato cha nne na kupata div IV?

Asa akirudia anatumia jina la nani.?
 
Nenda private A-level watakuchukuwa kama ua credit tatu.
 
Tafuta chuo uanze na ngazi ya certificate halafu ukitaka utaendelea na diploma au hata degree. Kuna jamaa alirisit mpaka akachoka alipata matokeo ambayo hayo ya kwako ni mazuri sana, akaamua kutafuta chuo akaanza kusoma sasa amemaliza kusoma ngazi ya diploma.
 
Tafuta chuo uanze na ngazi ya certificate halafu ukitaka utaendelea na diploma au hata degree. Kuna jamaa alirisit mpaka akachoka alipata matokeo ambayo hayo ya kwako ni mazuri sana, akaamua kutafuta chuo akaanza kusoma sasa amemaliza kusoma ngazi ya diploma.
nimekuelewa mkuu
 
Wakuu, mie nimehitimu elimu ya sekondari mwaka 2013 na kupata daraja la nne point 32. Mpaka sasa sielewi nikasomee taaluma gani! Nimeomba ualimu nimekosa, na ndio lililokuwa tegemeo langu kubwa.

Mpaka sasa nipo mtaani na sina mwelekeo wowote wa kusoma hadi natamani nirudie shule form4 resit.

Naomba ushauri wako nisome kozi gani na chuo gani ili nije kupata ajira.

Help me please!
kuresit ni kupoteza muda
 
kama nyumbani pako fresh anzia ngazi ya cheti kuna vyuo vingi tu ila kama ni majanga we risiti tu lipia kituo upige msuli kuntu lazima upate tu hizo credit
 
Back
Top Bottom