Natamani sana FIFA izifungie taasisi tatu ambazo ni Simba, Yanga na TFF kwa kuendeleza siasa katika mpira wa miguu

Natamani sana FIFA izifungie taasisi tatu ambazo ni Simba, Yanga na TFF kwa kuendeleza siasa katika mpira wa miguu

Nyinyi Makolo FC hapa tunaongelea Bodi ya Ligi sio ushabiki wa timu fulani jana ilibidi timu zote zifike uwanjani km itagoma basi ikagomee pale uwanjani na timu isiyofika uwanjani basi ipigwe rungu kanunii ndio zinavyosema hivyo, sasa viongozi wa Bodi ya Ligi wamekurupuka na kuja na maamuzi ya kijingajinga pumbavu
Zifike uwanjani kufanya nini wakati bodi imeahirisha mechi.
 
Hata mrusha matangazo mwenyewe Azam alikuwa na taarifa. Kwa miaka ya karibuni sekta hii imekuwa zaidi kwenye ushawishi, huwezi fananisha na muziki. Kama una jambo lako ukiwekeze kwa team za kariakoo linapata ngucu zaidi kuliko ukipeleka kwa wanamziki na waigizaji kwa maana hawana ushawishi mkubwa kwa sasa to fauti na ile 2010s.
Baada ya mechi kuhairishwa nikaliwaza sana lile tangazo lao. "Hii derby haina kipengele labda kipengele ukilete wewe" "Dalili ya uwoga huo mtani" hapa kama code zinafunguka hivi kuhusu mrusha matangazo
 
Zifike uwanjani kufanya nini wakati bodi imeahirisha mechi.
Zifike uwanjani Bodi ya Ligi inaongozwa na Mapimbi wakiongizwa na Steve Mngeto na Almasi Kasongo wanafanya maamuzi km wamebanwa na kimba pumbavu, walitakiwa wasubiri mpaka saa 4 usiku ndio wangetoa tamko lao maaana asubuhi Steve Mngeto alisema mchezo upo palepale ilipofika saa 7 Mchana ndio linatoka tamko la Bodi ya Ligi km sio wanafanya maamuzi ya kifala ni nini?
 
Ni SIMBA na TFF ndio wanatakia wafungiwe..Yanga hana KOSA lolote. Taratibu za kutumia uwanja zinaeleweka, na hazikufuatwa. Hauwezi kujiamkia tu asubuhi, kisha unasema unakwenda zako uwanjani kufanya mazoezi, sababu tu ya kanuni - bila hata ya kutoa taarifa.
 
Zifike uwanjani Bodi ya Ligi inaongozwa na Mapimbi wakiongizwa na Steve Mngeto na Almasi Kasongo wanafanya maamuzi km wamebanwa na kimba pumbavu, walitakiwa wasubiri mpaka saa 4 usiku ndio wangetoa tamko lao maaana asubuhi Steve Mngeto alisema mchezo upo palepale ilipofika saa 7 Mchana ndio linatoka tamko la Bodi ya Ligi km sio wanafanya maamuzi ya kifala ni nini?
Siku ya mchezo rais alikuwepo kule Arusha kwenye kilele cha siku ya mwanamke. Na kwa jinsi mambo yalivyo hadi sasa rais anapiga kampeni japo muda bado, hivyo anatumia sehemu zenye mikusanyiko mikubwa ya wananchi kujinadi na kutafuta kuungwa mkono.

Mechi ya YangaSC vs Simba ni mojawapo ya majukwaa atakayoyatumia kijitangaza kuelekea uchaguzi mkuu. Wewe ulitegemea mechi ichezwe akose kuhudhuria kama mgeni rasmi? Au unadhani washauri wake hawajui kwamba kwa namna yoyote ile mechi ingechezwa na kwa matokeo yoyote yale ni lazima yangefunika hotuba/ kampeni yake aliyohutubia Arusha?

TFF & bodi ya ligi, pamoja na SIMBA na Yanga walikuwa hawana namna ya kulazimisha mechi kichezwa kwani hawana huu ubavu kwa sababu wote wapo chini ya serikali kupitia wizara ya michezo iliyo chini ya rais.

TFF si chombo huru na hiyo ndiyo sababu ya mambo mengi yanafanyika yanafuata mlengo wa kisiasa na hata hao Yanga wanachokifanya ni funika kombe mwanaharamu apite.

Mechi ipo na mgeni rasmi atakuwa rais na ujumbe wake.
 
Siku ya mchezo rais alikuwepo kule Arusha kwenye kilele cha siku ya mwanamke. Na kwa jinsi mambo yalivyo hadi sasa rais anapiga kampeni japo muda bado, hivyo anatumia sehemu zenye mikusanyiko mikubwa ya wananchi kujinadi na kutafuta kuungwa mkono.

Mechi ya YangaSC vs Simba ni mojawapo ya majukwaa atakayoyatumia kijitangaza kuelekea uchaguzi mkuu. Wewe ulitegemea mechi ichezwe akose kuhudhuria kama mgeni rasmi? Au unadhani washauri wake hawajui kwamba kwa namna yoyote ile mechi ingechezwa na kwa matokeo yoyote yale ni lazima yangefunika hotuba/ kampeni yake aliyohutubia Arusha?

TFF & bodi ya ligi, pamoja na SIMBA na Yanga walikuwa hawana namna ya kulazimisha mechi kichezwa kwani hawana huu ubavu kwa sababu wote wapo chini ya serikali kupitia wizara ya michezo iliyo chini ya rais.

TFF si chombo huru na hiyo ndiyo sababu ya mambo mengi yanafanyika yanafuata mlengo wa kisiasa na hata hao Yanga wanachokifanya ni funika kombe mwanaharamu apite.

Mechi ipo na mgeni rasmi atakuwa rais na ujumbe wake.
Jamaa amegoma kabisa kufikiria nje ya box, yaani anafumbazika na zile kauli za kibabe wanazoonesha viongozi wa Yanga kwa mashabiki anahisi wana maanisha kumbe ni danganya toto tu kila kitu wanakijua na mechi lazima watacheza. Hapa saizi bodi ya ligi wanasikilizia ratiba kutoka kwa utawala wa nchi kujua ratiba ya mama ni lini itakayofaa kuwekwa hii mechi. Wanasubiri maelekezo toka juu
 
Back
Top Bottom