Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Hivi unajua zink ni kitu gani?
Au unajita tuu
 
Hapana KWA kweli usije kuta natania baba MKWE mchumba bila kujua hii aibu nitajificha wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Mseleleko
 
Hapana KWA kweli usije kuta natania baba MKWE mchumba bila kujua hii aibu nitajificha wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] Mseleleko
Hahah ndio mkuu watu wanajichimbana mikwara bila kujua uenda ni mzee wake huyo tubadilike tu
 
Hahah ndio mkuu watu wanajichimbana mikwara bila kujua uenda ni mzee wake huyo tubadilike tu
Weee ukute baba MKWE wangu ndio wewe eti[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Weee ukute baba MKWE wangu ndio wewe eti[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hahaha yote yanawezekana mkuu tena maana jf ya sasa vijana wameshamili humu wanatimulia vumbii wazee
 
Dah....umetumwa?
 
Haya mimi jina langu halisi naitwa Jitakeja Mawenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…