Natamani sana kila member humu wa JamiiForums atumie jina na pamoja na picha yake halisi

Kama ukificha jina halisi, halafu ukaikashifu serikali, wakiamua kufuatilia hutapatikana?. Ulipojiunga JF ulitumia no yako ya simu! Ni sawa na bata kuficha kichwa chake ardhini akifikiria yupo salama.
 
Yaani wewe ungekuwa mfano ingekuwa vyema nakuzidi hadi Mimi ambae sikuleta hoja ila nipo real kuanzia jina na picha.
 
Yaani wewe ungekuwa mfano ingekuwa vyema nakuzidi hadi Mimi ambae sikuleta hoja ila nipo real kuanzia jina na picha.
Hongera mkuu na mimi soon ntaweka picha humu mkuu
 
Kama ukificha jina halisi, halafu ukaikashifu serikali, wakiamua kufuatilia hutapatikana?. Ulipojiunga JF ulitumia no yako ya simu! Ni sawa na bata kuficha kichwa chake ardhini akifikiria yupo salama.
Hahaha sawa mkuu umeeleweka acha tuendelee kujificha humu maana kuna faida zake pia
 
Mengine tuwaachie tu "facebook". Hapa tubakie "huru" tu. Kuna faidi nyingi zaidi kwa JF kuwa kama ilivyo.

Napita tu.
 
Umetisha firmino

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hhahaha jf ni hatari kwahiyo watu wakamtimulia vumbii
sio kuchimbika tu Ile ilikua ni vita ya pili ya Tanzania ukitoa Ile ya Uganda maana jamaa alitupiwa makombora ya Nyukilia nikiwa na maana nyuki Hawa Hawa watengeneza asali maana bongo hatuna Nuclear power!
Alikoma bwana
Mwiguluiza Nchembazimana Mwakatozo
Mzee wa tuhamie Burundi!
😁😁😁😁
 
Mengine tuwaachie tu "facebook". Hapa tubakie "huru" tu. Kuna faidi nyingi zaidi kwa JF kuwa kama ilivyo.

Napita tu.
Yeap umesomeka mkuu acha tuenjoy hivi hivi tu
 
Hahaha inawezekna alifungua account nyingine kwa jina jingine tu maisha yakaendelea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…