Natamani sana Ubunifu huu wa 'Daladala' za nchini Denmark uigwe na za Tanzania ili tusiooa na wasioolewa tupate Wenza wetu wa Maisha

Natamani sana Ubunifu huu wa 'Daladala' za nchini Denmark uigwe na za Tanzania ili tusiooa na wasioolewa tupate Wenza wetu wa Maisha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wamiliki wa Daladala nchini Denmark wamebuni Mbinu mpya kwa Abiria ambao hawataki Kuoa kama GENTAMYCINE au Kuolewa kama wengine ili waweze kuwapata Wenza wao ndani ya hizo Daladala.

Ni kwamba sasa katika kila Daladala nchini Denmark huwa zinaachwa wazi Siti Mbili ambapo Yule Abiria ambaye anatafuta Mwenza wake hutakiwa Kukaa Kwanza katika Moja ya Siti hizo na Kutakiwa Kutabasamu muda wote bila Kuchoka kisha Abiria ambaye atavutiwa nae ( hasa na Tabasamu lake ) hilo atatakiwa Kukaa katika ile Siti nyingine na baada ya hapo harakati zao za Kutongozeka, Kuoana na Kubaiolojiana zitaanzia hapo.

Wasiwasi wangu GENTAMYCINE ni kwamba kuna Wengine Sura zetu zilivyo hata tujilazimishe vipi Kutabasamu bado tu tutaonekana tuna Usununu ( Tumenuna ) na huenda badala ya Kuwavutia Abiria ndiyo wanaweza ama wakatukimbia kabisa au kuomba hata Kushuka na wapande nyinginezo zenye Watu ( Wanaume ) wanaojua Kutabasamu Kimahaba.

Taarifa hii ya hili Tukio la Denmark nimelitoa Radio One katika 'Segment' yao nzuri ya Habari Nyepesi Nyepesi ya Leo Jumatatu Saa 2 Kamili iliyosomwa ( iliyoletwa ) na Mtangazaji Mtani wangu wa Kihaya ( Kagera ) Mkuu Deogratius Rweyunga ( Boss Deo )

Je, na Daladala zetu za Bongo ziwaige?
 
Je, na Daladala zetu za Bongo ziwaige?
Kwetu nadhani kuiga bado kidogo; Mara nyingi ili kitu kiwe Luxury inabidi kwanza kiwe kimeshatatua sababu za msingi za kuwepo kwake, Mfano Initial target ya simu ilikuwa kuhakikisha mawasiliano, development imeendelea ivi sasa simu ina torch, na huduma za upili(Secondary) ila hayo yote yamekuja baada ya kusolve primary business lakini pia haiondoi huduma za msingi, dar bado Dala dala ni za shida sana kwenye kusafirisha abiria kutoka sehemu kwenda sehemu nyingine, sasa huwezi weka huduma za hivyo.

NOTE: Luxurious item nyingi Magari, simu, nguo etc zinaanzia Huko Magharibi kwa sababu sehemu kubwa vitu hivi kwao vimeshasolve sababu ya msingi hivyo wanaiboresha kwa kuipa thamani bidhaa husika bila kuathiri core focus yake.
 
Utamaduni wa Wenzako huko waliostaarabika na Akili zao zipo Vizuri hazijaharibika kama za Waafrika wa Leo. Ukizileta Huku Hutopata Matokeo sahihi. Hiyo Seat Wala hawataijali
pic-latra-2-data.jpg
 
Mkuu Sisi bado tunapambana na ujinga, maradhi na chakula. Haya ya Denmark ni ya watu ambao washavuka hatua za kuamka na kufikiria utakula, utavaa, utalala wapi.
[emoji23][emoji23]
 
Wamiliki wa Daladala nchini Denmark wamebuni Mbinu mpya kwa Abiria ambao hawataki Kuoa kama GENTAMYCINE au Kuolewa kama wengine ili waweze kuwapata Wenza wao ndani ya hizo Daladala.

Ni kwamba sasa katika kila Daladala nchini Denmark huwa zinaachwa wazi Siti Mbili ambapo Yule Abiria ambaye anatafuta Mwenza wake hutakiwa Kukaa Kwanza katika Moja ya Siti hizo na Kutakiwa Kutabasamu muda wote bila Kuchoka kisha Abiria ambaye atavutiwa nae ( hasa na Tabasamu lake ) hilo atatakiwa Kukaa katika ile Siti nyingine na baada ya hapo harakati zao za Kutongozeka, Kuoana na Kubaiolojiana zitaanzia hapo.

Wasiwasi wangu GENTAMYCINE ni kwamba kuna Wengine Sura zetu zilivyo hata tujilazimishe vipi Kutabasamu bado tu tutaonekana tuna Usununu ( Tumenuna ) na huenda badala ya Kuwavutia Abiria ndiyo wanaweza ama wakatukimbia kabisa au kuomba hata Kushuka na wapande nyinginezo zenye Watu ( Wanaume ) wanaojua Kutabasamu Kimahaba.

Taarifa hii ya hili Tukio la Denmark nimelitoa Radio One katika 'Segment' yao nzuri ya Habari Nyepesi Nyepesi ya Leo Jumatatu Saa 2 Kamili iliyosomwa ( iliyoletwa ) na Mtangazaji Mtani wangu wa Kihaya ( Kagera ) Mkuu Deogratius Rweyunga ( Boss Deo )

Je, na Daladala zetu za Bongo ziwaige?
Ni Kupungukiwa akili tu kwa wenzetu. Unajua huwezi salimiana na mtu nchi hizo wala huwezi tongoza njiani. Yaani demu au dume yupo tayari apige nyeto ila siyo kutongoza unakuta midori ya ngono ni biashara kubwa mno
 
Hatuna muda na huo upuuzi tunamambo mengi ya msingi.

Huo mfumo wautumie haohao wazungu madomo zege, Bongo mtu anatongozwa Leo na analiwa Leo
 
Ahaaaa kwa daladala zipi za kibongo? Hiyo siti inabaki vip kwa mfano?
 
Back
Top Bottom