The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
- Thread starter
- #21
Yani ngoma haina lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ngoma haina lolote
Kuna sehemu popo kibaoo nipe mchongoHAHAHAA BADO YA MOTO MKUU JIONGEZE TU TUYAJENGE
Uko China? Fursa iko huko.Mzuka wanajamvi
Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu inaimarika.
Kutokana na kujaliwa na perfect genes na strong body immune system niliorithi kwa mababu zangu Neanderthals sitaki kubweteka ndio maana natamani zali la Coronavirus linipate, hili nifanye tafiti ya body system yangu je inaweza kuimili hii mikikimikiki ya Magonjwa hatarii ikiwemo Ebola?
Pia licha ya iyo yote nikuacha Legacy. Yani Corona Virus imetrend kwenye current affairs news na kucover almost all headlines and breaking news, yani inipite hivihivi kizembe bila kuipata? Maamaee HAIWEZEKANI!
Maexperience, fursa na zali kama haya niyakuyachangamkia maadam yanapokua hot trending na kuacha alama ya kudumu katika historia.
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga unatakiwa kuwa risktaker. Magonjwa ambayo siyo ya kutamani ni yale tu yanoyaathiri nguvu za kiume tu.
Huku kula nyama na supu ya popo kila siku nimeona imeshindikana. Sasa ni kwenda Wuhan China kwa lazima kuifwata. Hamna namna!
Mzuka wanajamvi
Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu inaimarika.
Kutokana na kujaliwa na perfect genes na strong body immune system niliorithi kwa mababu zangu Neanderthals sitaki kubweteka ndio maana natamani zali la Coronavirus linipate, hili nifanye tafiti ya body system yangu je inaweza kuimili hii mikikimikiki ya Magonjwa hatarii ikiwemo Ebola?
Pia licha ya iyo yote nikuacha Legacy. Yani Corona Virus imetrend kwenye current affairs news na kucover almost all headlines and breaking news, yani inipite hivihivi kizembe bila kuipata? Maamaee HAIWEZEKANI!
Maexperience, fursa na zali kama haya niyakuyachangamkia maadam yanapokua hot trending na kuacha alama ya kudumu katika historia.
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga unatakiwa kuwa risktaker. Magonjwa ambayo siyo ya kutamani ni yale tu yanoyaathiri nguvu za kiume tu.
Huku kula nyama na supu ya popo kila siku nimeona imeshindikana. Sasa ni kwenda Wuhan China kwa lazima kuifwata. Hamna namna!
Hiyo bangi ulovuts siyo ya dunia hiiMzuka wanajamvi
Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu inaimarika.
Kutokana na kujaliwa na perfect genes na strong body immune system niliorithi kwa mababu zangu Neanderthals sitaki kubweteka ndio maana natamani zali la Coronavirus linipate, hili nifanye tafiti ya body system yangu je inaweza kuimili hii mikikimikiki ya Magonjwa hatarii ikiwemo Ebola?
Pia licha ya iyo yote nikuacha Legacy. Yani Corona Virus imetrend kwenye current affairs news na kucover almost all headlines and breaking news, yani inipite hivihivi kizembe bila kuipata? Maamaee HAIWEZEKANI!
Maexperience, fursa na zali kama haya niyakuyachangamkia maadam yanapokua hot trending na kuacha alama ya kudumu katika historia.
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga unatakiwa kuwa risktaker. Magonjwa ambayo siyo ya kutamani ni yale tu yanoyaathiri nguvu za kiume tu.
Huku kula nyama na supu ya popo kila siku nimeona imeshindikana. Sasa ni kwenda Wuhan China kwa lazima kuifwata. Hamna namna!
Nasikia huko ulaya bangi haipatikani,unavuta petroli!! ww filistiYes of course i need it is a must its now or never!
Mkuu ukitoka wohan pitia bongo uyaambukize haya ma nzi ya kijani walau yapungue pungue kwa kufa na corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mume wa dada yako anakupa kiburi sana mpaka unafungua uzi wa kujimwambafai ukiwa kwenye sofa la shemeji yakoMzuka wanajamvi
Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu inaimarika.
Kutokana na kujaliwa na perfect genes na strong body immune system niliorithi kwa mababu zangu Neanderthals sitaki kubweteka ndio maana natamani zali la Coronavirus linipate, hili nifanye tafiti ya body system yangu je inaweza kuimili hii mikikimikiki ya Magonjwa hatarii ikiwemo Ebola?
Pia licha ya iyo yote nikuacha Legacy. Yani Corona Virus imetrend kwenye current affairs news na kucover almost all headlines and breaking news, yani inipite hivihivi kizembe bila kuipata? Maamaee HAIWEZEKANI!
Maexperience, fursa na zali kama haya niyakuyachangamkia maadam yanapokua hot trending na kuacha alama ya kudumu katika historia.
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga unatakiwa kuwa risktaker. Magonjwa ambayo siyo ya kutamani ni yale tu yanoyaathiri nguvu za kiume tu.
Huku kula nyama na supu ya popo kila siku nimeona imeshindikana. Sasa ni kwenda Wuhan China kwa lazima kuifwata. Hamna namna!
Anabeba box huko mbele huyo jamaaMume wa dada yako anakupa kiburi sana mpaka unafungua uzi wa kujimwambafai ukiwa kwenye sofa la shemeji yako
Sent using Jamii Forums mobile app
😆🤔🙌🙌Mwanaume hutakiwi kuwa muoga unatakiwa kuwa risktaker.
Bange mbaya sanaMzuka wanajamvi
Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu inaimarika.
Kutokana na kujaliwa na perfect genes na strong body immune system niliorithi kwa mababu zangu Neanderthals sitaki kubweteka ndio maana natamani zali la Coronavirus linipate, hili nifanye tafiti ya body system yangu je inaweza kuimili hii mikikimikiki ya Magonjwa hatarii ikiwemo Ebola?
Pia licha ya iyo yote nikuacha Legacy. Yani Corona Virus imetrend kwenye current affairs news na kucover almost all headlines and breaking news, yani inipite hivihivi kizembe bila kuipata? Maamaee HAIWEZEKANI!
Maexperience, fursa na zali kama haya niyakuyachangamkia maadam yanapokua hot trending na kuacha alama ya kudumu katika historia.
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga unatakiwa kuwa risktaker. Magonjwa ambayo siyo ya kutamani ni yale tu yanoyaathiri nguvu za kiume tu.
Huku kula nyama na supu ya popo kila siku nimeona imeshindikana. Sasa ni kwenda Wuhan China kwa lazima kuifwata. Hamna namna!
Tulia weweee nyangwisi MaarasmitayoBange mbaya sana