Natamani sana zali la Coronavirus linipate

Uko China? Fursa iko huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Huwezi pata hilo gonjwa, labda ukaungane na wale washenzi wanaotesa waislamu na kuwauwa. Nchi nyingi tu baadhi yao wameathirika na corona lakini umeckia hata mmoja amekufa? Hii huenda ikawa adhabu ya Allah kwa unyama wanaoufanya. Sasa na wewe fanya hivyo utakipata ukitakacho mjomba
 
Hiyo bangi ulovuts siyo ya dunia hii
 
Mume wa dada yako anakupa kiburi sana mpaka unafungua uzi wa kujimwambafai ukiwa kwenye sofa la shemeji yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bange mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…