Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃 😃 😃 au nanilii machoTafuta mrembo hapo mtaani mpachike jina la utani depal or leejay umuweke ni kitambi awe mama watoto wako.
Usiumize hisia na kichwa ...simple tu rafiki.
mambo yasiwe mengiTafuta mrembo hapo mtaani mpachike jina la utani depal or leejay umuweke ni kitambi awe mama watoto wako.
Usiumize hisia na kichwa ...simple tu rafiki.
😃 😃 😃 au nanilii macho
Kabisaaa!mambo yasiwe mengi
Njia mbili zilimponza fisi.
AikoooAikooooooooo! Mtoe au uwachukue wote mbili 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 yachukucha yachukuchaaa yachukuuuuuchaaaa
Huo ukorofi kamanda🤣Haiombwi hivyo mdogo wangu, vijana wa siku hizi sijui mnakwama wapi, ongea na wataalam wa hizo kazi wakufundishe namna ya kuomba
Unapishana na fursaLabda huyo mwingine, me nishawahiwa my friend.. Asante🙏
Umewahi kuwaona?Inaonekana huwa hadi unaumba wajihi wao mawazoni mwako.Ni jambo jema kama huwa unawapatia na upotofu kama huwa unawakosea kuwaumba kifikra.Na ninaamini,kadiri member anavyoona na kusoma komenti za member mwingine humu huwa anajengewa hadi muonekano halisi.