Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #21
SawaIdle mind is a demonic thoughts factory
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaIdle mind is a demonic thoughts factory
Sasa Kila mrembo Kisu, Vijana mnawawahi.Mie natamani Lamomy na shoga yake Unique Flower wawe mama watoto.
Aikooooooo! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kuna mtu mashimo ya mashavu yataongezeka leoAikooo
Mzee kijana imekula kwakoSasa Kila mrembo Kisu, Vijana mnawawahi.
Kwahiyo hamtaki Wazee pia "tuopoe" vyombo naona mnajipakulia Minyama tu 🤗
Vibaya hivyo 😜
Ni majike na usiniulize nimejuajeUnaweza kuta ni madume hayo, usiamini sana mitandao, kama ni wanawake i wish niwaweke kwenye nyumba moja wanitumikie.
Hapana mimi nahitaj mtotoo Lamomy na shoga yake Unique Flower hawa Mimi ndio nimefika .Sasa Kila mrembo Kisu, Vijana mnawawahi.
Kwahiyo hamtaki Wazee pia "tuopoe" vyombo naona mnajipakulia Minyama tu 🤗
Vibaya hivyo 😜
Kwa kweli wivu sina ila roho inauma hakiyanani 🤗Mzee kijana imekula kwako
Mbona unabania watu ridhiki jaman🤣Tafuta mrembo hapo mtaani mpachike jina la utani depal or leejay umuweke na kitambi awe mama watoto wako.
Usiumize hisia na kichwa ...simple tu rafiki.
wazeee mkiisha chukua kiinua mgongo tutasogeleaz 🤣 🤣Sasa Kila mrembo Kisu, Vijana mnawawahi.
Kwahiyo hamtaki Wazee pia "tuopoe" vyombo naona mnajipakulia Minyama tu 🤗
Vibaya hivyo 😜
ni sawa,
Usinitishe wanawake ni wetu sote. Tatizo kuwahiana tuu mkuuDepal achana nae, tutakuja kupigana makofi.
Wenzako wanaanza na mmoja, wewe unapiga double at onceHapana mimi nahitaj mtotoo Lamomy na shoga yake Unique Flower hawa Mimi ndio nimefika .
Hahaha!Mbona unabania watu ridhiki jaman🤣
Aminani sawa,
si ni Jambo la kukubaliana tu [emoji205]
Muhimu tu ifanyike sasa, bado mngali wa motro motro, msichelewe sana hadi uzeeni kila mtu amejichokea sasa eti ndio muungane [emoji205]
Mambo ni sasa, kama sio sasa ni sasahivi [emoji91]
nawaombea baraka na neema tele mfikie muafaka mwema kwa upendo [emoji205]
Wazee tumezidiwa kete na Vijanawazeee mkiisha chukua kiinua mgongo tutasogeleaz 🤣 🤣
A ha ha ha Lamomy nijirani yangu huyu, niliomba anipangishe chumba kwake akakataa kuwa ntamsumbua lakini nikisu hatari , nampenda kinoma nimepanga jirani na nyumba yake . Unique Flower yeye nimgomvi magomvi kidogo kwahio nikiwa nahawa wawili package imekamilika. Wewe mpwa wangu, nasubili ukichukua NSSF ndio nijisogeze.Wenzako wanaanza na mmoja, wewe unapiga double at once
Ndiyo mnataka Wazee tupigwe na baridi la upweke hadi tukufe
I wish I could be 25yrs now 😜
HAya wercome to the city of joyHapana mimi nahitaj mtotoo Lamomy na shoga yake Unique Flower hawa Mimi ndio nimefika .