Natamani siku moja depal au leejay 49 awe mama watoto

Ndugu najua kabisa mtashangaa ni kwanini hawa wawili au wengine mtasema ni promo au kujitoa akili ila ndivyo ilivyo.

Siku moja natamani sana Depal au Leejay49 awe mama watoto wangu msiniulize ni kwanini.
ni sawa,
si ni Jambo la kukubaliana tu πŸ’

Muhimu tu ifanyike sasa, bado mngali wa motro motro, msichelewe sana hadi uzeeni kila mtu amejichokea sasa eti ndio muungane πŸ’

Mambo ni sasa, kama sio sasa ni sasahivi πŸ”₯

nawaombea baraka na neema tele mfikie muafaka mwema kwa upendo πŸ’
 
Amina
 
Wenzako wanaanza na mmoja, wewe unapiga double at once

Ndiyo mnataka Wazee tupigwe na baridi la upweke hadi tukufe

I wish I could be 25yrs now 😜
A ha ha ha Lamomy nijirani yangu huyu, niliomba anipangishe chumba kwake akakataa kuwa ntamsumbua lakini nikisu hatari , nampenda kinoma nimepanga jirani na nyumba yake . Unique Flower yeye nimgomvi magomvi kidogo kwahio nikiwa nahawa wawili package imekamilika. Wewe mpwa wangu, nasubili ukichukua NSSF ndio nijisogeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…