Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Sisi tuliokuwa wapenzi wa Pan-Africanism ndio tuliokimbilia Yanga, baada ya timu yetu kuonyesha kutokuwa na future na mipango madhubuti ya kimichezo. Natamani timu hii ikiwa na pacha wake nyota nyekundu zipate mfadhili wa kuziamsha, maana kama ni mashabiki wanao wa kutosha.
Maana waliokuwa mashabiki wa nyota nyekundu nao kwa wakati ule walikimbilia Simba butu, hii iliyopigwa mbili hivi punde hata machungu ya dose hayajaisha. Kwa sasa sifahamu hizi timu zipo wapi au pengine haipo kabisa lakini kwa asilimia mia moja timu hizi zinamashabiki lukuki mpaka leo hii. Kwa hali na kwa jinsi upepo unavyoonyesha, si muda mrefu sana na kwa vision niionayo aliyonayo Dewji wa Simba anataka tanzania iwe hub ya mchezo huu africa kwa kusajili wachezaji toka pande zote za dunia.
Dunia siku moja iwe inaiangalia tanzania kama UK, kwa juhudi na jitihada tutafanikiwa siku moja. Michezo ni fursa, michezo ni uchumi mpana kabisa.
Maana waliokuwa mashabiki wa nyota nyekundu nao kwa wakati ule walikimbilia Simba butu, hii iliyopigwa mbili hivi punde hata machungu ya dose hayajaisha. Kwa sasa sifahamu hizi timu zipo wapi au pengine haipo kabisa lakini kwa asilimia mia moja timu hizi zinamashabiki lukuki mpaka leo hii. Kwa hali na kwa jinsi upepo unavyoonyesha, si muda mrefu sana na kwa vision niionayo aliyonayo Dewji wa Simba anataka tanzania iwe hub ya mchezo huu africa kwa kusajili wachezaji toka pande zote za dunia.
Dunia siku moja iwe inaiangalia tanzania kama UK, kwa juhudi na jitihada tutafanikiwa siku moja. Michezo ni fursa, michezo ni uchumi mpana kabisa.