Shida ya Tanzania aliyekosea kufanya siasa kuwa chanzo cha kuchumi (kujipatia kipato), hivyo taifa limezalisha ugonjwa wa utegemezi wa siasa. mwanasiasa hawaheshimu taaluma za watu, hawaheshimu madaktari, hawaheshimu wanasheria, hawaheshimu walimu, ilmradi ukiwa mbuge, waziri mkuu, waziri, dc, rc, raisi wewe unajua kila kitu.
kwa mtu yeyeto mwenye uwelewa suala la mikataba ni swala la kisheria, la liko wazi, whether ni investment laws, or corporate law, criminal law or chochote lakini ni swala la kisheri.
kwa Tanzania huwezi kumzalau Prof. shivji, hata hao unao waona wanongelea sheria, wamepita mikononi mwake, na mwalimu akiona wanafunzi wanakengeuka kuweka mambo sawa ni safi, mpe heshima yake mzee kwa taaluma yake.
anasema kwa ajili ya nchi yake, na dhamira ya mkataba inasomwa kwenye mkataba, haielezwi majukwaani eti serikali ina nia nzuri, nia tuione kwenye mkataba, nyingine ni mbwembwe za majukwaani