EHH!
Asha D alishasema ana mume wake! je utamuombea ruhusa kwa mumewe..?
faiza fozxy ana gozi.. wenyewe wana miaka 40 ya ndoa... je utaliomba ruhusa gozi utoke na mkewe
husninyo & AD ... sina uhakika...
week end njema Mkuu!!!!
Weekend njema wana MMU!
Enjoy and stay blessed.
Duu kama ni Simba kweli Kapakatwaaaaaaa patamu...New born toka na mimi basi....hahahahah
Namaste Viper... Nimesha mtonya... bora hata ange pm... hata
hubby nikimwambia nimemkaribisha fellow jf member asingemaindi....lol
off thread: Hujanipa progress... anything new... au ndo unasubiri jina ya something new??
Karen_H hua nakuona kwa adimu saana... na nikikuona hua nafurahi... don't know why... But please enyoy pia na weekend njema.
FB bana... ngoja ni m-pm AD au Husny maana
naamini ka vile this weekend wako idle kidogo...
BTW Karibu Iddi (ila sasa hii thread itanifanya niombe
kwanza ruhusa kwa shemejio) wewe kuweza kubalika home...lol
jamani sumu kidogo, hubby apunguze wivu kama anayo, just enjoyng da bata.
Asante sana Keren_H......
Kila nikiiona avatar yako najawa na tabasamu..
Weekend njema..
Namaste Viper... Nimesha mtonya... bora hata ange pm... hata
hubby nikimwambia nimemkaribisha fellow jf member asingemaindi....lol
off thread: Hujanipa progress... anything new... au ndo unasubiri jina ya something new??
Thanks so much my dear AshaDii for the kind and sweet words! I am happy to hear that!
Have a blessed weekend!
Hana wivu kabisa...lol... ila tu hua haamini opposite sex ikiwa karibu...
hapana namaanisha tutakuwa na hao ma mumsupz, tena mchana kweupeeee! Huko ikifika sa kumi na moja hunikuti.
WaPM bila shaka hutakosa mmoja wa kukupa green light. Bt kumbuka wanaweza kuwa in relationship so wakawa busy na wenzao.
All the best!
namaste DIDI... hahaha yani hubby atakuachia hivihivi utoke na " Avatar " lol ... hehe badobado kwanza, nasubiria jina ya something new! vipi wewe upo poa lakini.. mfungo wasemaje.. mi jukwaa la sports limeteka kule basi dah.. ntakuwa nakucheki pande hizi..
Ila umekosa viwanja vyote mpaka uende shivaz
ahhh hapo lazima kisanuke
Asante... nawe pia ubarikiwe...Ubarikiwe Katavi! Nafurahi kusikia hivyo!
Mchumba wako ni nani kati ya hao ili tujiandae kuwasuluhisha...mia.umenikwaza kwa kumtaja jina mchumba wangu.nahisi unataka kuninyang'anya.kimeshanuka tayari.
umenikwaza kwa kumtaja jina mchumba wangu.nahisi unataka kuninyang'anya.kimeshanuka tayari.