Pre GE2025 Natamani zitto kabwe awe raisi wa Tanzania uchaguzi ujao

Pre GE2025 Natamani zitto kabwe awe raisi wa Tanzania uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Nimeona mambo yanakua mengi sana viongozi wengi wa CCM wanapotezea kero za kila siku. Katika machaguo yangu naona zitto kabwe nchi inamfaa
 
Nimeona mambo yanakua mengi sana viongozi wengi wa CCM wanapotezea kero za kila siku. Katika machaguo yangu naona zitto kabwe nchi inamfaa
Zingatia: Kwa udini alionao hawezi hata kupita Vetting ya kuwa Mtendaji wa Kijiji.
 
Hii nchi inahitaji ukoloni kwa mara ya pili, ndiyo sasa tutakuwa na uwezo wa kujitawala.
 
Zitto ni bora chama chakavu kiendelee kuongoza
 
Back
Top Bottom