Natambulisha track yangu mpya kwa Wana JF

Ngoma kali sana hii mkuu, ni kama amapiano fulani ya kitanzania. Hakika wewe ni msanii mkubwa sana sema hawajui tu. Fanya uhame nchi kaka bongo sio level zako nenda hata Nigeria.
 
Ngoma kali sana hii mkuu, ni kama amapiano fulani ya kitanzania. Hakika wewe ni msanii mkubwa sana sema hawajui tu. Fanya uhame nchi kaka bongo sio level zako nenda hata Nigeria.
Aksante Sana, nalifanyia kazi na litatimia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…