Natangaza kuacha pombe rasmi 2021

Hongera
 
"maisha yafaa nini bila pombe"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ drink responsibly!
 
Hana Cash
Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji1][emoji2][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji3][emoji38]
Kwa muda nilioishi kwenye ulevi pesa sio sababu ya kuacha pombe...kuna bar nakunywa nalipa mwisho wa mwezi pia mimi naziuza hizo hizo pombe
 
Ukiwa ndani hua anavaa mavazi gani? hilo shape nisije nikapitiwa na shetwanii
Huwa navaaga kaniki.Mimi mwenyewe shetwani tutapitiana tu..tena tukiwa vyombo tunamsingizia shetani pombe..sisi shetwani watu tunakaa pembeni πŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…