Elections 2010 Natangaza kugombea Ubunge 2015. kupitia CHADEMA, naanza maandalizi sasa

Point of correction ,wakuu hawa wabunge wetu wateule tusiwaite mabos wa vibopa wa obey wala masaki au UD bali ni watumishi wa wa wanachi majimboni si unajua tumechagua watutumikie?hiyo ndo dhana ya uwajibikaji na uadilifu,tuwaache upande wa pili wajinasibu kwa ubosi ili baade tuwatose.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…