Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #241
Kabisa !Bravo. Tanganyika hoyeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa !Bravo. Tanganyika hoyeee.
Ujasiri wa Ajabu ni kuendelea kuwa ccm huku Umasikini wa Wazazi wako waliorithishwa na CCM na wewe umerithishwaDah, ujasiri wa ajabu, hongera mkuu
Hata makamanda akina Halima walinunuliwa....just a matter of time...never say never, weka akiba ya maneno!Mimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
PAMOJA DAIMAMimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
Hakuna tajiri anayejidhalilisha , cha ajabu sasa , baada ya nadhiri hii Utajiri wangu umeongezeka mara dufu !umejidhalilisha sana, pumbavu
Uzi una miaka 7 na msimamo ni ule ule !Dah, ujasiri wa ajabu, hongera mkuu
Sijawahi kuona mnyakyusa fala kama wewe, tutakupiga marufuku usikanyage kyelaHakuna tajiri anayejidhalilisha , cha ajabu sasa , baada ya nadhiri hii Utajiri wangu umeongezeka mara dufu !
Hakika Chadema ni Mpango wa Mungu
Swali : ile simu uliyonyang'anywa na wale waliokununulia imerejeshwa ?
Hivi kwanza kuna mnyakyusa fala kweli ?Sijawahi kuona mnyakyusa fala kama wewe, tutakupiga marufuku usikanyage kyela
wewe ndio wakwanza, kuwashabikia wachagaHivi kwanza kuna mnyakyusa fala kweli ?
Uzi una miaka 7 na msimamo ni ule ule
Kuganga njaa ndio kuandika nyuzi za ukombozi au kuna lingine ?Tajiri anayeganga njaa mitandaoni? Hakuna tajiri mpumbavu.
Mke wa Mwakyembe alikuwa Mchaga , kazikwa Ikolowewe ndio wakwanza, kuwashabikia wachaga
Wakati uzi huu unaandikwa wewe ndio ulikuwa unaomba uanachama jf ! huwezi kuelewaujinga unakusumbua
Kwani utajiri ni nini!!?Hahahaha eti tajiri kwani wee mooo
HakikaKwani utajiri ni nini!!?
Mimi nina bus za mikoani 4, fuso 3, "vichanja" viwili, mashamba nane(hekari 16200),lodges (1* mpaka 3* saba), nyumba za kupangisha 17.
Je mimi ni tajiri au sio tajiri!?
Kama ni tajiri,kwani namfikia "mooo" wako!!??
Ni masikini wa shukrani, akili na elimu pekee ambaye anaweza kujivunia umasikini.
Utajiri ni neema,na kukiri kuwa u tajiri ni ibada ya sifa na shukrani kwa yule atoaye utajiri na kila kilicho chema, yaani Mungu Baba wa Mbinguni.
Umasikini ni laana. Kujisifia kuwa wewe ni masikini ni kutomshukuru Mungu kwa kukuumba kwa mfano wake.
Maana yake ni kumwambia Mungu kuwa wewe si mfano wake.
Ulichagua Tunda JemaMimi ni kijana Mzaliwa wa Tanzania mwenye kipato cha juu ( Tajiri ) , nimeamua kuichagua chadema kati ya utitiri wa vyama uliopo katika nchi yetu, nitaiunga mkono na kuipigania bila kuvunja katiba ya nchi .
Nimevutiwa na kushawishiwa na mipango ya chama hiki , shortly , hiki ni chama imara kisichotikisika na chenye nia ya kweli ya kuleta mabadiliko , nafahamu kwenye kila jambo there is HILLS and VALLEY , Hata hivyo mimi kama binadamu mwenye ubongo na akili nimeamua kukabiliana na changamoto za ndani na nje ya chadema .
Naahidi ushirikiano uliotukuka , Eee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mungu ibariki Chadema .
AmenUlichagua Tunda Jema