Natangaza nia...

Na ukiwekwa ndani kwa ufisadi nani atamwangalia??

vitabu kutobalance si ufisadi. Kuna jinsi ya kufanya ili mambo yaende. Kama unaufahamu wa uhasibu kuna vitu vinafundishwa kama creating a/c, window dressing,a/c technique. Jaman hatufundishwi vibaki kwenye vitabu,ni muhimu kuvitumia hali mradi usivunje sheria zilizowekwa!
 
Mambo mamii,umechelewa kufika JF usiku huu nami natangaza nia KWAKO,napita tu nasogea ku-bed.

Duuuhh
Samahani sana dear majukumu yamezidi. ..
haya prince chaming
Lala salama ae. .....
 
I never wanted to talk of estimates. Lakini hata ukifikiria huko, kamwe haitakuwa hiyo yako. Pia kuna post unasema, mahospitalini wanasema hivyo! Hao watoto hawaingii kwenye database. In either way, hauko sahihi angalia estimates za CIA na nyinginezo. Hakuna ratio ya hivyo kwa Tanzania. Nadhani tumekubaliana, tusipoteze mada maana hata huyo mchumba akisoma akaona unabisha facts anaweza kukupotezea.
 

Hapo kwenye red wewe ni mbinafsi sana unachagua makabila????
 
We hutafuti mke bali unatafuta umbo na ujue hujafa hujaumbika kuna mdada mmoja mtaani alikua mzuri sana figure hilo balaa mtoto anakaa baada ya kuzaa mtoto wa kwanza akaanza kubadilika, wa pili ndio uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hilo umbo lilipoenda mpaka leo nikijiuliza sipati jibu yaani michelini si michelini yupo kama tufe so unaweza kumuoa mke leo anashepu nzuri baada ya muda ikavurugika. Ushauri oa mke utakaempenda na si kwa ajili ya shepu yake au sura yake
 
muhasibuuuuuu
et wataka wa mbeya ,mwanza na kagera
awe na figa
asiwe na elmu ilozd dgree
hahah haaaaaa dahh nataka niamini nt utan unles othwise tl nw i may cal ......THAXXXXXX.
 
siku nyingine zingatia kanuni za uandishi..
utampata usijali
 

:Cry::Cry::Cry:
 

mkuu mbona nshakubali,au? Si umenieleza tayari? Ebu ngoja nsake kitufe cha thanks,labda ndo uelewe kuwa nshakubali.
 
Hapo kwenye red wewe ni mbinafsi sana unachagua makabila????

mambo Dena? Ujue kupanga ni kuchagua! Kuna kitu kinaitwa scale of preference,unapanga in the order of preference! Nimechagua mikoa iyo kuwa top3 priority. Usihisi ivo,ila kama kuchagua ni ubinafsi,kweli ilo tatizo linanikumba.
 

mkuu iyo ni kazi ya Mola kukubadilisha anavyotaka. Leo mi nko kamili kesho naweza kuamka nina ganzi. Hapa mtu hawezi kutafuta amtakaye kwa kusema,vyovyote vile atakavokuwa,hapa vigezo ni muhimu. Hata ukienda popote vigezo vipo hata kama havijatajwa,hata mfano serikali imesema wazee watatibiwa bure,lakini mzee akifika hospital ataambiwa pitia mapokezi ujiandikishe,kujiandikisha sh.300,kadi ya mgonjwa 200,jumla sh.500,hapa bora waseme tu kuwa mzee matibabu 500. Sijui kama nimeweka vizuri ili unielewe! All in all kigezo icho nadhan kwangu muhimu,maana mke ni ua,ni pambo,ni furaha,na kukamilika. Mkuu au nkisema shepu unahisi naongelea wale kama kwenye katuni,umbo pipa? Hapana,nina maana awe na umbo la kike!
 
muhasibuuuuuu
et wataka wa mbeya ,mwanza na kagera
awe na figa
asiwe na elmu ilozd dgree
hahah haaaaaa dahh nataka niamini nt utan unles othwise tl nw i may cal ......THAXXXXXX.

Rose,Thanks 2!
 
mambo Dena? Ujue kupanga ni kuchagua! Kuna kitu kinaitwa scale of preference,unapanga in the order of preference! Nimechagua mikoa iyo kuwa top3 priority. Usihisi ivo,ila kama kuchagua ni ubinafsi,kweli ilo tatizo linanikumba.

Poa. Ila wewe ukimpata utuambie umempata wa wapi Mwanza, Kagera au Mbeya.

Halafu siku nyingine ukiandika weka hata koma na nukta basi na uache nafasi

angalau iwe rahisi kusoma maana hii imekuwa kama nini sijui
 
siku nyingine zingatia kanuni za uandishi..
utampata usijali

kama zp Rose? Au unasema niweke aya n.k,currently natumia cm so kanuni za uandishi znakuwa ngumu.
 

Nakwambia huyo dada alikua na umbo la kike balaaaaaaaa yaani huko nyuma alifungasha usipime lakini baada ya miaka mitano alivyobadilika yaani huwezi amini sasa wewe hilo pambo likibadilika utaendelea kuliita pambo au ndio utaanza kutafuta mwingine aliejazia.
 
Poa. Ila wewe ukimpata utuambie umempata wa wapi Mwanza, Kagera au Mbeya.

Halafu siku nyingine ukiandika weka hata koma na nukta basi na uache nafasi

angalau iwe rahisi kusoma maana hii imekuwa kama nini sijui

ok. Ila ni kwamba cm yangu haipangi vizuri ndo maana insha haipendezi. Ila kuhusu koma na nukta bado si mbaya maana kiswahili f4 mwalimu alinieleza kuwa ktk insha nukta na koma viwe ratio 2:1. Sasa ukiangalia thread hapo juu utakuta nukta 22:12 ambayo ni kama 2:1 Ndo kanuni za uhandishi. Otherwise ngekuwa kwenye PC najua ingekaa vizuri. Thanks 4 that Dena!
 

hamna,ukishampata mkafunga pingu,mmefunga pingu,ivi ni vigezo vya kumpata wala si kanuni za kuishi nae. Mfano nimesema akiwa bikira atapata priority,hapa ucje niuliza tena je mkishatoa bikira,utamuacha na kutafuta bikira mwingne,hapana,ni kigezo tu! Hata ivo nkimpata ntahakikisha nailinda afya yake kwa uwezo wangu wote. Maty,kwani uyo mdada alipatwa na maswahibu yepi jamani?ana matatizo ya maisha au ni mabadiliko ya kawaida? Kama ulikuwa mwili wake natumaini ataregain!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…