Wapendwa wanaJF,naanza kwa kumshukuru mola kwa kuniweka hewani,yani hapa juu ya uso wa dunia. Katika kuuanza mwaka 2011 naleta lengo langu, nimependa kuwashirikisha Great Thinkers ktk kunsaidia kunsogezea ubavu wangu wa pili. Natangaza kuanza mchakato wa kumtafuta wa kuishi nae. Kwa ufupi nakaribia miaka 26,taalum mhasibu,afya njema,mtanashati,charming,wise in decision. WanaJF,si lazma nitafute wa kuishi nae hapa Jf,ila nautangazia ulimwengu kuwa nataka kupata mtu wa kuwa mama wa watoto wangu,kama una dada au ndugu si vibaya ukamtonya aingie kwenye kinyanganyiro. Kumbuka sensa ya 2002 ilitoa ratio 1:03 yani mwanaume atapaswa aoe zaidi ya mke mmoja,ili wanawake wote waolewe. Kwa iyo ni vema nafasi hii muitumie vizuri akina dada. Kwa ufupi, Vigezo: 1. Awe ni Mtanzania 2. Mwenye imani ya kuwa Mola yupo(mkristo_mkatoliki au muislam) 3.awe amepima magonjwa ambukizi. 4. Awe na umri kati ya 14-22(marriage ordinance nchini Tanzania inamruhusu binti kuolewa kuanzia miaka 14 ila atimize masharti.)pia atakuwa subject to probation period 5. Awe na elimu kuanzia f4 ila isizidi digrii ya kwanza. 6. Awe charming and conversant. 7. Awe anatokea Mbeya,Mwanza,na kagera peke yake. 8. Amna love experience inayohitajika. Hapa akiwapo bikira ndo atapata kipaumbele,pia awe tayari kufuata procedure ya legal marriage yani uchumba-ndoa. 9. Awe na figure la kumfanya baba asicheze mbali. Hapa ikumbukwe kuwa sitahitaji nyumba ndogo wala kutoka nje hata siku moja maishani,ivyo awe na figure ya ukweli yenye viwango vya kuridhisha. 10. All qualification carry equal weight. Note: kama wa vigezo hatopatikana ntatafuta mpaka niwe 30yrs ndo nibadili vigezo. Asanteni kwa kunielewa. MHASIBU.