kama zp Rose? Au unasema niweke aya n.k,currently natumia cm so kanuni za uandishi znakuwa ngumu.
hamna,ukishampata mkafunga pingu,mmefunga pingu,ivi ni vigezo vya kumpata wala si kanuni za kuishi nae. Mfano nimesema akiwa bikira atapata priority,hapa ucje niuliza tena je mkishatoa bikira,utamuacha na kutafuta bikira mwingne,hapana,ni kigezo tu! Hata ivo nkimpata ntahakikisha nailinda afya yake kwa uwezo wangu wote. Maty,kwani uyo mdada alipatwa na maswahibu yepi jamani?ana matatizo ya maisha au ni mabadiliko ya kawaida? Kama ulikuwa mwili wake natumaini ataregain!
Mi umenichanganya kwenye kigezo cha elimu na umri. Hivi kama unakubali kuanzia miaka 14, je binti wa miaka 14 anaweza kuwa kashamaliza form 4?
Nakutakia kila la kheri Gsana, Muombe sana Mungu,na umuombe mapenzi yake yatimizwe kwako si fantasy za utoto/ujana wako na matakwa ya mzee,Mungu anajua what is best for you.....:smile-big:
Mi sijui hata alipatwa na nini sio kwamba amekonda yaani amenenepeana kawa kama turbo amebaki sura tu mwe! shepu yote imevurugika yaani ni balaaa unajua bora ukonde inawezekana kurudia hali yako ya kawaida ila kunenepeana lol kazi hata ukijikondesha nyama zitakua zinaning'inia tu
mkuu,mdogo wangu aliyezaliwa 96 amehitimu f4 tayari. Nimechora msitari kuanzia hapo. Na kuna wale waliorukia madarasa ndo kbao. Fika st.fransis mbeya ujionee. Mkuu iki ni minimum kigezo wala si compulsory. Ni sana na mtu akitangaza kazi akataja mwombaje awe above 60yrs,haitamaanisha hata mwenye 98yrs ataqualify,vigezo vngne vtambana. Ndo maana kuna kgezo no.10,au vp mkuu?
Vigezo vyote ninavyo! sasa mi nakupa kigezo kimoja tu, nitumia laki 5 kwenye ac no. hii 01j1724795006700 Jina Husuda Rweyemamu. Kazi kwako kama upo serious.
Vigezo vyote ninavyo! sasa mi nakupa kigezo kimoja tu, nitumia laki 5 kwenye ac no. hii 01j1724795006700 Jina Husuda Rweyemamu. Kazi kwako kama upo serious.