Natangaza nia...

Natangaza nia...

kama zp Rose? Au unasema niweke aya n.k,currently natumia cm so kanuni za uandishi znakuwa ngumu.

ok
km nukta mkato
paragraph
inaleta hamasa ya kusoma lakin uandish u km unachora boks liparagraf limoja ilooooo ainog..thou 4me nimekusoma na m sure utampata...
 
hamna,ukishampata mkafunga pingu,mmefunga pingu,ivi ni vigezo vya kumpata wala si kanuni za kuishi nae. Mfano nimesema akiwa bikira atapata priority,hapa ucje niuliza tena je mkishatoa bikira,utamuacha na kutafuta bikira mwingne,hapana,ni kigezo tu! Hata ivo nkimpata ntahakikisha nailinda afya yake kwa uwezo wangu wote. Maty,kwani uyo mdada alipatwa na maswahibu yepi jamani?ana matatizo ya maisha au ni mabadiliko ya kawaida? Kama ulikuwa mwili wake natumaini ataregain!

Mi sijui hata alipatwa na nini sio kwamba amekonda yaani amenenepeana kawa kama turbo amebaki sura tu mwe! shepu yote imevurugika yaani ni balaaa unajua bora ukonde inawezekana kurudia hali yako ya kawaida ila kunenepeana lol kazi hata ukijikondesha nyama zitakua zinaning'inia tu
 
Mi umenichanganya kwenye kigezo cha elimu na umri. Hivi kama unakubali kuanzia miaka 14, je binti wa miaka 14 anaweza kuwa kashamaliza form 4?
 
Nakutakia kila la kheri Gsana, Muombe sana Mungu,na umuombe mapenzi yake yatimizwe kwako si fantasy za utoto/ujana wako na matakwa ya mzee,Mungu anajua what is best for you.....:smile-big:
 
ok
km nukta mkato
paragraph
inaleta hamasa ya kusoma lakin uandish u km unachora boks liparagraf limoja ilooooo ainog..thou 4me nimekusoma na m sure utampata...

thanks.
 
Mi umenichanganya kwenye kigezo cha elimu na umri. Hivi kama unakubali kuanzia miaka 14, je binti wa miaka 14 anaweza kuwa kashamaliza form 4?

mkuu,mdogo wangu aliyezaliwa 96 amehitimu f4 tayari. Nimechora msitari kuanzia hapo. Na kuna wale waliorukia madarasa ndo kbao. Fika st.fransis mbeya ujionee. Mkuu iki ni minimum kigezo wala si compulsory. Ni sana na mtu akitangaza kazi akataja mwombaje awe above 60yrs,haitamaanisha hata mwenye 98yrs ataqualify,vigezo vngne vtambana. Ndo maana kuna kgezo no.10,au vp mkuu?
 
Nakutakia kila la kheri Gsana, Muombe sana Mungu,na umuombe mapenzi yake yatimizwe kwako si fantasy za utoto/ujana wako na matakwa ya mzee,Mungu anajua what is best for you.....:smile-big:

I stay touched with your indelible wishes. May your words create truth. With thanks,Gsana.
 
Mi sijui hata alipatwa na nini sio kwamba amekonda yaani amenenepeana kawa kama turbo amebaki sura tu mwe! shepu yote imevurugika yaani ni balaaa unajua bora ukonde inawezekana kurudia hali yako ya kawaida ila kunenepeana lol kazi hata ukijikondesha nyama zitakua zinaning'inia tu

mkuu inatokea,pia nakumbuka wakati nko chuoni,nlikuwa na rafiki yangu alikuwa wa kike,alikuwa mtu wa Iringa,na hana wazazi,yan wote wamekufa,alikuwa ana shida za kifedha na hostel alikuwa amebebwa na mdada flan,hata mlo alikuwa anaupata kwa tabu mpaka asaidiwe,siku nyingne anakuambia anakosa kabisa na anashindia mkate na chai. Maty,ungemwona ungeogopa,pande la mdada na qute,utadhani mwana wa mbunge. Kwa iyo,kwa mdada unayemsema hawezi kujizuia,ni hormones za mwili tu ndo znamfanya ivo. All in all unamshukuru Mungu.
 
Vigezo vyote ninavyo! sasa mi nakupa kigezo kimoja tu, nitumia laki 5 kwenye ac no. hii 01j1724795006700 Jina Husuda Rweyemamu. Kazi kwako kama upo serious.
 
Mie nipo tayari lakini sharti moja unaweza kuhamia South Africa?
 
mkuu,mdogo wangu aliyezaliwa 96 amehitimu f4 tayari. Nimechora msitari kuanzia hapo. Na kuna wale waliorukia madarasa ndo kbao. Fika st.fransis mbeya ujionee. Mkuu iki ni minimum kigezo wala si compulsory. Ni sana na mtu akitangaza kazi akataja mwombaje awe above 60yrs,haitamaanisha hata mwenye 98yrs ataqualify,vigezo vngne vtambana. Ndo maana kuna kgezo no.10,au vp mkuu?

Asante kaka, kumbe wengine bado tuko na mawazo ya kuanza darasa la kwanza na miaka 7.
Nakutakia kila la kheri kaka, umpate sio unayempenda tu bali mnayependana
 
Vigezo vyote ninavyo! sasa mi nakupa kigezo kimoja tu, nitumia laki 5 kwenye ac no. hii 01j1724795006700 Jina Husuda Rweyemamu. Kazi kwako kama upo serious.

Haya umempata wa Kagera huyo kajitokeza kazi kwako na hiyo laki tano utoe
 
Vigezo vyote ninavyo! sasa mi nakupa kigezo kimoja tu, nitumia laki 5 kwenye ac no. hii 01j1724795006700 Jina Husuda Rweyemamu. Kazi kwako kama upo serious.

Husuda,iyo ndo minimum au vocha?naona unadai Gross salary yote! Sasa ina maana hata PAYE nsilipe? Hao wandema mara wanyima engozi. Ngoja ntulize akili kwanza.
 
Asante kaka, kumbe wengine bado tuko na mawazo ya kuanza darasa la kwanza na miaka 7.
Nakutakia kila la kheri kaka, umpate sio unayempenda tu bali mnayependana

nashukuru mkuu.
 
Back
Top Bottom