Kazana bwana Mnyika jihadhari na watu kama GAME THEORY ambao wanahoji elimu yako kuwa una Zero. mtu wao Zitto kabwe ana elimu gani?
Mnyika,
1. Nini msimamo wako kuhusu Tanzania kuwemo kwenye EAC, na 'soko la pamoja'.
2. Pana udaku kwamba ulipewa 'michuzi/rujua/ulua/bakshish/takrima/kitu kidogo' ili matokeo ya uchaguzi wa mwaka ulee yaende kwa mpinzani wako, akikuahidi kwamba 'atakuachia na kukupigia debe' mwaka huu. Wasemaje?
Mlenge
Do I miss a reply on No 1? No 2 can be ignored.