kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Mimi ni miongoni mwa watu ambao walimchukia sana makonda hasa enzi za mwenda zake , na hii ni kutokana na namna alivyo kuwa akiwatenda baadhi ya watu kwa jeuri na kibri kwa wakati huo.
Lakini sasa naamini kuna mambo aliyo yatenda wakati huo amesha yaombea toba kwa mungu ingawa sijajua kama kaomba toba pia kwa wale alio watendea hilo sina hakika nalo.
Lakini kwa sasa namuona makonda ni mtu mpya katika utekelezaji wake wa majukumu na hasa kwa kujali maslahi mapana ya wananchi wanao nyanyasika sana na watendaji wa serikali wasio waadilifu,wezi na mafisadi.
Huyu angetufaa kuwa Rais tena kwa nchi hii ilivyo jaa wahujumu uchumi, wezi na wanyanganyi, huyu angetufaa sana sana , nasisitiza ATATUFAA SANA ili aturudishe kwenye mstari mnyoofu na hii ni kutokana na uthubutu wake, kujiamini , na kusimamia kile alicho kiamini ni chema ,nankuwa na maamuzi, tunahitaji kiongozi mwenye maamuzi na si vinginevyo.
Ni hivyo tu.
Lakini sasa naamini kuna mambo aliyo yatenda wakati huo amesha yaombea toba kwa mungu ingawa sijajua kama kaomba toba pia kwa wale alio watendea hilo sina hakika nalo.
Lakini kwa sasa namuona makonda ni mtu mpya katika utekelezaji wake wa majukumu na hasa kwa kujali maslahi mapana ya wananchi wanao nyanyasika sana na watendaji wa serikali wasio waadilifu,wezi na mafisadi.
Huyu angetufaa kuwa Rais tena kwa nchi hii ilivyo jaa wahujumu uchumi, wezi na wanyanganyi, huyu angetufaa sana sana , nasisitiza ATATUFAA SANA ili aturudishe kwenye mstari mnyoofu na hii ni kutokana na uthubutu wake, kujiamini , na kusimamia kile alicho kiamini ni chema ,nankuwa na maamuzi, tunahitaji kiongozi mwenye maamuzi na si vinginevyo.
Ni hivyo tu.