Natangaza rasmi: Nakwapua beb wa mtu JF


Duuu... kama akili za asubuhi zipo hivi? Je za usiku zitakuaje??


Cc: mahondaw
 
Mwanaume kama Smart911 naachaje kuringa kwa mfano ha ha..... msikie tu mambo yake si ya nchi hii ohooooooooo uliza uambiwe kha kha kha khaaaa!! kaza mwendo ufurahie maishaaa... kwa smart teiiiiinaaaaaaaaa!!!!!!!!!!the man is so aaauuuwwwwwss!!!

Acha hizo mahondaw wangu... kaone kalivyo kazuri na katamu... leo jioni ukija sitaki kukuona umenuna na maswali kibao... nitakachokufanya ni zaidi ya peponi...
 
Acha hizo mahondaw wangu... kaone kalivyo kazuri na katamu... leo jioni ukija sitaki kukuona umenuna na maswali kibao... nitakachokufanya ni zaidi ya peponi...


Fact smart I always tell you.. naile juzi si uliona hata wale walisalute???? khakhakhaaaaaaa..

Leo mapema sana natia timu... chochote wewe nifanye tu yani CHOCHOTE kile .. am here just for uuuuuu handsome ! wewe teiiiiinaaaaaaaaa!! sema Kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…