Natangaza rasmi: Nakwapua beb wa mtu JF

Natangaza rasmi: Nakwapua beb wa mtu JF

This is the first time am quoting this ID, there is that level of respect I give it to an extent of me thinking that someone has hacked it.

All in all, if the mission is real, all the best.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wakuu,

Nimekuwa nikiona watu wana mabeb zao humu kwa muda mrefu...

Sasa nimekuwa mpweke humu JF kwa muda mrefu!

Sasa natangaza vita kwa watu wenye mabeb zenu kuwa nakwapua mimi.

Hasa wewe Smart @Mahondow Demiss Mshana Jr mnaringa sana.

Ngoja niangalie nani nimwibie ili kelele zenu ziishe ha ha haaa...

Nasema hivii...sijui nimuibie Daby au ngoja nimuibie Shunie..

Bado nipo nawaza hapa nimchukue wa nani...ila kama kuna ambae hana beb humu ajiunge nami tukwapue hahahaa...

Akili za asubuhi za kiporo na chai[emoji3] [emoji125]
Mambo dada samahani njoo tucheze mchezo wa kufichana kwenye PM yangu.
 
Daah hapana... ile juzi uliyataka mwenyewe lakini... mimi nimetulia zangu, wewe ukaenda kuni introduce kwa rafiki zako, kumbe nao wanauchu... hahaha...

Tihtihtih... nikaushie love... usimwambie mtuuuuuuuuuuuu!!
 
Back
Top Bottom