REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Tupo seriously kiongozi kumbuka haya ni maandamano ya umma siyo chama cha siasaNunua solar panel mkuu, huu mgao wa umeme ni mbaya kwa afya
Wazo zuri maana haiwezekani mtu unagiza samaki mwanza wanafika unhifadhi kwenye jokofu umeme unakatika masaa 24 ukirudi masaa matatu wanakata tena tunaishia kutupa samaki unagiza tena mtindo ule ule huu ni mfano mmoja mwenye uhalisia haya mtu anasafiri kutoka mkoani kwenda wizarani Dodoma anafika anambiwa umeme hakuna asubilie umeme urudi kiukweli ina umaTuazie dar
Wazo zuri maana haiwezekani mtu unagiza samaki mwanza wanafika unhifadhi kwenye jokofu umeme unakatika masaa 24 ukirudi masaa matatu wanakata tena tunaishia kutupa samaki unagiza tena mtindo ule ule huu ni mfano mmoja mwenye uhalisia haya mtu anasafiri kutoka mkoani kwenda wizarani Dodoma anafika anambiwa umeme hakuna asubilie umeme urudi kiukweli ina uma
Tunawaza magufuri aliwezaje kumaliza mgao na alisema wazi kabisa kuwa wale wanaokata kata umeme anawajua wasubutu waoneTatizo limeazia kuwekeza kwenye umeme wa maji huu mifumo ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji imepitwa na wakati .