assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Nataraji kuwasiliana na wanasheria kufungua kesi dhidi ya baba wa taifa kwasababu zifuatazazo;
1. alimuuliza nan kutufanya tufate siasa ya ujamaa,
2. alimuuliza nan kutuunganisha na zanziba,
3. alimuuliza nan kutumia hela zetu kwa wapigania uhuru bila kutuuliza,
4. alimuuliza nan kwamba tunataka serikali mbili
Akithibitka mahakamani kwamba alikosea alipaswa afanye referendum kwa lolote nitaomba hakimu amnyang'anye cheo cha baba wa taifa.
1. alimuuliza nan kutufanya tufate siasa ya ujamaa,
2. alimuuliza nan kutuunganisha na zanziba,
3. alimuuliza nan kutumia hela zetu kwa wapigania uhuru bila kutuuliza,
4. alimuuliza nan kwamba tunataka serikali mbili
Akithibitka mahakamani kwamba alikosea alipaswa afanye referendum kwa lolote nitaomba hakimu amnyang'anye cheo cha baba wa taifa.