Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ukisoma nyuzi zake jamaa anateswa sana na mapenzi!
Anunue at his own risks!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma nyuzi zake jamaa anateswa sana na mapenzi!
NOTE : Vidada vingi vya JF ni vijizi na vishirikina.
Kuna mambo yanafurahisha sana...Ukisoma nyuzi zake jamaa anateswa sana na mapenzi!
Anunue at his own risks!
😄Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa
[emoji3578]Mkuu hebu ongea na watu wazima wa kusaidie kupata mke kama huna maokoto na unakutana na ugumu mkali
Dada poa sikushauri japo wakati mwingine hata mademu zetu wanaweza wakawa dada poa bila sisi kujua
Kwa sasa uliapa vunja kwanza kiapoNimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.
Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa kama njia ya kuburudisha moyo wangu, japo sijawahi kununua dada poa tokea ni zaliwe na nilijiapiza sitokaa kununua dada poa na kuwekeza nguvu kubwa sana katika kutafuta mke mwema ila mipango na malengo yangu yote imegonga mwamba nazidi kua mpweke sana
Nimejaribu kila michezo na kujichanganya sana na watu, kunywa pombe kali sana , kuhudhuria viwanja na kadhalika na kadhalika lakini nikajakugundua furaha yangu kubwa ni kuwa na mwanamke na ndiyo maana niliwekeza sana kwenye kutafuta mke ili kuziba hili pengo la upweke katika moyo na nafsi yangu.
Ndugu zangu nahitaji kuanza kununua wale dada poa either wa mtandaoni au wale wa kumbi za starehe mitaani ila wawe na hadhi thabiti na lengo hasa ni kustarehesha moyo wangu na nafsi yangu maana nimegundua pombe kali sii kitu ni kipoozeo cha muda tuu.
Pia nikipata mke mapema nitaghairi huu mpango wangu na hakika nitaoa na kuleta mrejesho kwenu,
Wanawake na wakaribisha Pm yangu na hata wenye link (weka pm) au wanaojua dada poa wenye hadhi wanako patikana naombeni mfunguke hapa
Najua ni risk sana kununua dada poa ila tuombeane heri tuu maana sina jinsi tena.
Nb: Kama kuna mwanamke atakua teyari kuolewa na mimi kuniepusha na hichi kikombe aje pia PM ila aandike yupo teyari kua mke kwa dada poa andika kabisa wewe ni dada poa.
Unapatikana mkoa gani tukupe machimbo wa dada poa?Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.
Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa kama njia ya kuburudisha moyo wangu, japo sijawahi kununua dada poa tokea ni zaliwe na nilijiapiza sitokaa kununua dada poa na kuwekeza nguvu kubwa sana katika kutafuta mke mwema ila mipango na malengo yangu yote imegonga mwamba nazidi kua mpweke sana
Nimejaribu kila michezo na kujichanganya sana na watu, kunywa pombe kali sana , kuhudhuria viwanja na kadhalika na kadhalika lakini nikajakugundua furaha yangu kubwa ni kuwa na mwanamke na ndiyo maana niliwekeza sana kwenye kutafuta mke ili kuziba hili pengo la upweke katika moyo na nafsi yangu.
Ndugu zangu nahitaji kuanza kununua wale dada poa either wa mtandaoni au wale wa kumbi za starehe mitaani ila wawe na hadhi thabiti na lengo hasa ni kustarehesha moyo wangu na nafsi yangu maana nimegundua pombe kali sii kitu ni kipoozeo cha muda tuu.
Pia nikipata mke mapema nitaghairi huu mpango wangu na hakika nitaoa na kuleta mrejesho kwenu,
Wanawake na wakaribisha Pm yangu na hata wenye link (weka pm) au wanaojua dada poa wenye hadhi wanako patikana naombeni mfunguke hapa
Najua ni risk sana kununua dada poa ila tuombeane heri tuu maana sina jinsi tena.
Nb: Kama kuna mwanamke atakua teyari kuolewa na mimi kuniepusha na hichi kikombe aje pia PM ila aandike yupo teyari kua mke kwa dada poa andika kabisa wewe ni dada poa.
Nimeipenda hii qoute. Naomba niiandikie postAnayenunua Dada poa kutuliza nafsi yake Anajielewa kuliko Anayehonga ili kumlinda mwanamke asimuache WEWE NI MJINGA.
NOTE : Vidada vingi vya JF ni vijizi na vishirikina.
Halafu vinajifanya decent kinoma, yaani jf ukiwa mgeni unaweza kufikiri kila mwanamke wa humu ni independent woman ambaye hayupo interested kabisa na pesa za mwanaume kwenye mahusianoHapo kwenye vijizi na kuelewa mkuu