Natarajia kuanza kununua dada poa rasmi kupooza nafsi yanguq

Natarajia kuanza kununua dada poa rasmi kupooza nafsi yanguq

Hakikisha una chanjo dhidi ya Hepatitis na HPV kabla ya kujiingiza kwenye hiyo network ya ngono.
Pia, usisahau kutumia kondom na usije nyonya malaya mate wala kujitia ufundi mwingi.
 
Bora kununua aisee mi mwenyewe nina mpango huo, wadumu wa siku hizi pasua kichwa
 
Wazo zuri. Kikubwa usiuze mechi, condom lazima.
 
Be careful ndugu usije kuukwaa make sure huendi peku
 
Jambo dogo kama Hilo unaleta jukwaani!
Hukwenda jando?
 
Ushaandika wosia kabisa,au unataka kusumbua TU ndugu zako
 
Mkuu hebu ongea na watu wazima wa kusaidie kupata mke kama huna maokoto na unakutana na ugumu mkali

Dada poa sikushauri japo wakati mwingine hata mademu zetu wanaweza wakawa dada poa bila sisi kujua
[emoji3578]
 
Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.

Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa kama njia ya kuburudisha moyo wangu, japo sijawahi kununua dada poa tokea ni zaliwe na nilijiapiza sitokaa kununua dada poa na kuwekeza nguvu kubwa sana katika kutafuta mke mwema ila mipango na malengo yangu yote imegonga mwamba nazidi kua mpweke sana

Nimejaribu kila michezo na kujichanganya sana na watu, kunywa pombe kali sana , kuhudhuria viwanja na kadhalika na kadhalika lakini nikajakugundua furaha yangu kubwa ni kuwa na mwanamke na ndiyo maana niliwekeza sana kwenye kutafuta mke ili kuziba hili pengo la upweke katika moyo na nafsi yangu.

Ndugu zangu nahitaji kuanza kununua wale dada poa either wa mtandaoni au wale wa kumbi za starehe mitaani ila wawe na hadhi thabiti na lengo hasa ni kustarehesha moyo wangu na nafsi yangu maana nimegundua pombe kali sii kitu ni kipoozeo cha muda tuu.

Pia nikipata mke mapema nitaghairi huu mpango wangu na hakika nitaoa na kuleta mrejesho kwenu,

Wanawake na wakaribisha Pm yangu na hata wenye link (weka pm) au wanaojua dada poa wenye hadhi wanako patikana naombeni mfunguke hapa

Najua ni risk sana kununua dada poa ila tuombeane heri tuu maana sina jinsi tena.

Nb: Kama kuna mwanamke atakua teyari kuolewa na mimi kuniepusha na hichi kikombe aje pia PM ila aandike yupo teyari kua mke kwa dada poa andika kabisa wewe ni dada poa.
Kwa sasa uliapa vunja kwanza kiapo
 
Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.

Sasa ili kujilinda nimeamua rasmi nianze kununua dada poa kama njia ya kuburudisha moyo wangu, japo sijawahi kununua dada poa tokea ni zaliwe na nilijiapiza sitokaa kununua dada poa na kuwekeza nguvu kubwa sana katika kutafuta mke mwema ila mipango na malengo yangu yote imegonga mwamba nazidi kua mpweke sana

Nimejaribu kila michezo na kujichanganya sana na watu, kunywa pombe kali sana , kuhudhuria viwanja na kadhalika na kadhalika lakini nikajakugundua furaha yangu kubwa ni kuwa na mwanamke na ndiyo maana niliwekeza sana kwenye kutafuta mke ili kuziba hili pengo la upweke katika moyo na nafsi yangu.

Ndugu zangu nahitaji kuanza kununua wale dada poa either wa mtandaoni au wale wa kumbi za starehe mitaani ila wawe na hadhi thabiti na lengo hasa ni kustarehesha moyo wangu na nafsi yangu maana nimegundua pombe kali sii kitu ni kipoozeo cha muda tuu.

Pia nikipata mke mapema nitaghairi huu mpango wangu na hakika nitaoa na kuleta mrejesho kwenu,

Wanawake na wakaribisha Pm yangu na hata wenye link (weka pm) au wanaojua dada poa wenye hadhi wanako patikana naombeni mfunguke hapa

Najua ni risk sana kununua dada poa ila tuombeane heri tuu maana sina jinsi tena.

Nb: Kama kuna mwanamke atakua teyari kuolewa na mimi kuniepusha na hichi kikombe aje pia PM ila aandike yupo teyari kua mke kwa dada poa andika kabisa wewe ni dada poa.
Unapatikana mkoa gani tukupe machimbo wa dada poa?
 
Hapo kwenye vijizi na kuelewa mkuu
Halafu vinajifanya decent kinoma, yaani jf ukiwa mgeni unaweza kufikiri kila mwanamke wa humu ni independent woman ambaye hayupo interested kabisa na pesa za mwanaume kwenye mahusiano
 
Kusema ukweli sijawahi kuona Uzi wa kijinga kama huu toka nijiunge Jamii forums!
 
Back
Top Bottom