Natarajia kuanza kununua dada poa rasmi kupooza nafsi yanguq

Hakikisha una chanjo dhidi ya Hepatitis na HPV kabla ya kujiingiza kwenye hiyo network ya ngono.
Pia, usisahau kutumia kondom na usije nyonya malaya mate wala kujitia ufundi mwingi.
 
Bora kununua aisee mi mwenyewe nina mpango huo, wadumu wa siku hizi pasua kichwa
 
Wazo zuri. Kikubwa usiuze mechi, condom lazima.
 
Be careful ndugu usije kuukwaa make sure huendi peku
 
Jambo dogo kama Hilo unaleta jukwaani!
Hukwenda jando?
 
Ushaandika wosia kabisa,au unataka kusumbua TU ndugu zako
 
Mkuu hebu ongea na watu wazima wa kusaidie kupata mke kama huna maokoto na unakutana na ugumu mkali

Dada poa sikushauri japo wakati mwingine hata mademu zetu wanaweza wakawa dada poa bila sisi kujua
[emoji3578]
 
Kwa sasa uliapa vunja kwanza kiapo
 
Unapatikana mkoa gani tukupe machimbo wa dada poa?
 
Hapo kwenye vijizi na kuelewa mkuu
Halafu vinajifanya decent kinoma, yaani jf ukiwa mgeni unaweza kufikiri kila mwanamke wa humu ni independent woman ambaye hayupo interested kabisa na pesa za mwanaume kwenye mahusiano
 
Kusema ukweli sijawahi kuona Uzi wa kijinga kama huu toka nijiunge Jamii forums!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…