ZOPPA
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 2,729
- 2,891
Husika na kichwa cha habari wana jf
Mimi ni kijana mwenzenu ninae tafuta hela kwa hali na mali, mwaka 2013 nilifanikiwa kununua eneo lenye ukubwa hekari 25 wilaya ya Mvomoro kata ya Kimambira kijiji menge mwaka 2016 eneo hili nikawa nalima matikiti na nyanya nikawa najipatia mapato maisha yanaenda, nahudumia familia na kusomesha. 2019 kukatokea migogo baina ya wakulima na wafugaji nikaona isiwe shida nikaamua kubadilisha matumizi nikatengeneza mizinga nikawa nafuga nyuki, nikawa navuna asali maisha yakawa yanaenda.
Sasa kukaibuka mgogoro baina ya wanakijiji na wenye mashamba ndipo ikafikia hatua ya kumuita mkuu wa mkoa mwezi huu 13, 21 alikuja katika kijiji akatoa tamko wenye mashamba kuanzia heka kumi wapokonywe wapewe raia pasipo kuwa na utaratibu wakaaribu miundombinu ya ufugaji wa nyuki, wakanipa hasara kubwa sana nimepoteza ardhi.
Je nikitaka nimshtaki huyu muheshimiwa nitakua nimekosea! Je pia taratibu zipoje?
MSAADA
Ushauri pia unahitajika
Mimi ni kijana mwenzenu ninae tafuta hela kwa hali na mali, mwaka 2013 nilifanikiwa kununua eneo lenye ukubwa hekari 25 wilaya ya Mvomoro kata ya Kimambira kijiji menge mwaka 2016 eneo hili nikawa nalima matikiti na nyanya nikawa najipatia mapato maisha yanaenda, nahudumia familia na kusomesha. 2019 kukatokea migogo baina ya wakulima na wafugaji nikaona isiwe shida nikaamua kubadilisha matumizi nikatengeneza mizinga nikawa nafuga nyuki, nikawa navuna asali maisha yakawa yanaenda.
Sasa kukaibuka mgogoro baina ya wanakijiji na wenye mashamba ndipo ikafikia hatua ya kumuita mkuu wa mkoa mwezi huu 13, 21 alikuja katika kijiji akatoa tamko wenye mashamba kuanzia heka kumi wapokonywe wapewe raia pasipo kuwa na utaratibu wakaaribu miundombinu ya ufugaji wa nyuki, wakanipa hasara kubwa sana nimepoteza ardhi.
Je nikitaka nimshtaki huyu muheshimiwa nitakua nimekosea! Je pia taratibu zipoje?
MSAADA
Ushauri pia unahitajika